Infopaedia
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 1,231
- 1,496
- Thread starter
- #21
Ni kweli mkuu. Ndio maana wakitoka shule wakifika kwenye real world na kukuta mazingira ni tofauti wana-stuck. Lakini kama wangeendelea kufundishwa jinsi ya kufikiri, wangejiongeza na maisha yanakuwa poa sana.Dar! nimekukubali