MLEVI:Oyaa mhudumu,nipe bia ya kwanza kabla vita haijaanza[mhudumu akampa bia ya kwanza].MLEVI:Oyaa mhudumu nipe bia ya pili kabla vita haijaanza[mhudumu akampa bia ya pili]. MLEVI:Changamka bwana,nipe bia ya tatu kabla vita haijaanza. MHUDUMU:Kwani vita gani unayoiongelea?. MLEVI:Ni ile vita itakayolipuka kati yangu mimi na wewe pale utakapogundua sina hata sh.10 mfukoni ya kulipia hizi bia ninazokunywa.