Kweli wa tz wapumbavu maji kmeta 70 gesi km 700

Kweli wa tz wapumbavu maji kmeta 70 gesi km 700

kiteni

Member
Joined
May 5, 2015
Posts
49
Reaction score
5
Miaka 50 ya uhuru jiji la dar linauhaba mkubwa wa maji wa tz kimya.mto ruvu upo km 70 tu kutoka hapa dar maji hakuna.mtoto wa bagamoyo ndani ya miezi sita gesi imetoka mtwara ipo dar wanapiga 10%wa tanzania kimyaa asante mkapa kweli sisi wa tz ni wase...e.
 
Hilo bomba la maji hata wakisema wajenge kilo mita kadhaa kila mwaka leo hii dar ingekuwa na maji kila kona.
 
"Mjinga akikueleza jambo la kijinga na wewe ukalikubali basi atakudharau sana"Mwalimu Nyerere alisema hivyo
 
Wanaouona ujinga wetu, wanatutukana, wanatutesa, wametugawa, wanatuibia, wanatunyonya, miaka 50 wanatawala, tunakufa kama mende, hakuna madawa, shule hakuna walimu, masikini ni masikin, leo hii tunawalamba miguni kwasababu sisi ni omba omba ila mi nasema iviiiiiiiii kwa freedom is coming tomorrow, kwavovote vile ccm itaondoka tu
 
Duh! Hii hatari yaani sisi watanzania ni wenyeji wa sengerema?
 
Moro kimara masaa 2
Kimara ubungo masaa 2 na nusu. Si upumbavu huu.
 
daah kweli watanzania tukitukanwa tuna haki kwel maana nayo twashangilia aliyetuloga keshaenda zake akhera loh!
 
Hizo huduma zingine wakiwapa wakati wa kampeni ukifika watashindwa cha kuombea kura....
 
Tatizo Tanzania Kuna watu haya mambo hawaoni wamepigwa upofu... Werevu tunateseka sana hapa Tanzania sababu ya wajinga wengi wasiotaka mabadiliko... Inakera kweli
 
Miaka 50 ya uhuru jiji la dar linauhaba mkubwa wa maji wa tz kimya.mto ruvu upo km 70 tu kutoka hapa dar maji hakuna.mtoto wa bagamoyo ndani ya miezi sita gesi imetoka mtwara ipo dar wanapiga 10%wa tanzania kimyaa asante mkapa kweli sisi wa tz ni wase...e.
mse...e mwenyewe. sisi wengine sio.
 
Miaka 50 ya uhuru jiji la dar linauhaba mkubwa wa maji wa tz kimya.mto ruvu upo km 70 tu kutoka hapa dar maji hakuna.mtoto wa bagamoyo ndani ya miezi sita gesi imetoka mtwara ipo dar wanapiga 10%wa tanzania kimyaa asante mkapa kweli sisi wa tz ni wase...e.

mkuu sisi tulimwelewa vizuri sana,alichomaanisha,

alikuwa anawatukana wale wote wanayo iunga mkono ccm kwa kutojitambua, wanao ishabikia ccm hali hawajui kesho yao,
 
kuna mtu mmoja nilimsikia akisema mimi nitaichagua ccm kwa kua imemsimamisha mgombea mwenza mwana mke,

nilishangaa sana nikapata jibu kwamba elimu ni nzuri sana kuliko ujinga, ccm wanacheza na ujinga wa watanzania,

ndio maana hawataki kuboresha elimu maana wakiweza kwenye elimu imekula kwao,
 
Back
Top Bottom