Amefanya makubwa,hata wewe Fanya makubwa tuta Ku 'appreciate tu",
Diamond,ni mwanamuziki,mfanyabiashara(real estate).
Sasa HV amefungua kituo cha Luninga.
Anapoelekea atakuwa Word figure,amealikwa kutumbuiza kwenye ufunguzi wa kombe la dunia Urusi.
Kama MTU amefanya mambo kama hayo,unategemea nini?lazima dunia imkubari.
Wakati wengine wanatumia muda wao kula shisha,starehe zingine zisizo na tija,Mond anawekeza zaidi.
Ndugu,The sun shines on those who are standing,na anaye pewa lift ni yule ambaye yupo anatembea barabarani,sasa wewe unakaa gheto kwako,muda wote upo Instagram,harafu unataka upewe lift.
Msione wivu,unachopanda ndio unachovuna,Mond aliwekeza vzr,nanyi igeni,
The guy is so humble,ana management nzuri,yupo tayari kujifunza,
Sio "much know" kama vijana wengi,