Kweli Tanzania imeshikwa tu na WCB

Kweli Tanzania imeshikwa tu na WCB

bestmale

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2015
Posts
3,067
Reaction score
1,809
WCB wameshawapumbaza wabongo kweli...Diamond akinya breaking news ..kiato kimekatika breaking news. kifesi kuachishwa kazi breaking news.. kiba kuoa mombasa wamemupotezea... kiba sijuwe kafanya nini hawataki kujuwa ... kila wanachotaka kujuwa nikujuwa ya WCB whyyyyy whyyyyy [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] yooooooooooooh
 
Hadi Mhe.ameomba kupigiwa freestyle alipokuwa JNIA uzinduzi wa Rada,na picha ya Pamoja ilipigwa MC alikuwa amemsahau Mondi ,Mzee Baba akasema mwiteni Platnumz aje tupige picha hapa ya ukumbusho,then akapiga naye stori mbili tatu.Sasa unategemea nini kama hata Wananchi nao wasione fahari kuwa naye karibu tuu.Diamond yupo strategic sana na ameshafanikiwa kwa hilo.Tusubiri natural selection tu itakapaamua yenyewe na siyo vinginevyo
 
Hadi Mhe.ameomba kupigiwa freestyle alipokuwa JNIA uzinduzi wa Rada,na picha ya Pamoja ilipigwa MC alikuwa amemsahau Mondi ,Mzee Baba akasema mwiteni Platnumz aje tupige picha hapa ya ukumbusho,then akapiga naye stori mbili tatu.Sasa unategemea nini kama hata Wananchi nao wasione fahari kuwa naye karibu tuu.Diamond yupo strategic sana na ameshafanikiwa kwa hilo.Tusubiri natural selection tu itakapaamua yenyewe na siyo vinginevyo
Kumchukia huyu dogo ni kujitaftia vidonda vya tumbo tu
 
Kijana wa watu Kiba katulia na mambo zake lkn hamuishi kumlinganisha na MTU wenu.
 
jamaa amshukuru sana aliyempa aka ya diamond maana thamani yake inalingalina kbs na hiyo almasi.
 
11-1.jpg


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza mwanamuziki wa Bongo flavor Naseeb Abdul-Diamond platinum mara baada ya kuweka jiwe la msingi mfumo wa usimikaji wa Rada katika viwanja vinne vya ndege (Mwalimu Julius Nyerere-Dar es Salaam, Mwanza, KIA-Kilimanjaro na Songwe katika hafla iliyofanyika katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.Aprili 2,2018.
 
Kwani alikiba yupo au unataka kumfufua alisema anataka kumtoa abdu kiba kwanza
 
Uyuu jamaaaaa anapaaaaa kishenziii

Ila kuna jamaaaa iviii nilimsikia miaka ya 2013-14 alisema uyuu jamaa atakuwa maarufu zaidi ya nchi yenyewe..

In short alikuwa anasimulia mamboo ya Freemasons nakusema dogoo ana degreee ya 3 za umasonia.


Anyways binafsi nampa bigup japo njia aliyopitia sio sawa.
 
Back
Top Bottom