Kweli Tanzania imeshikwa tu na WCB

Kweli Tanzania imeshikwa tu na WCB

Uyuu jamaaaaa anapaaaaa kishenziii

Ila kuna jamaaaa iviii nilimsikia miaka ya 2013-14 alisema uyuu jamaa atakuwa maarufu zaidi ya nchi yenyewe..

In short alikuwa anasimulia mamboo ya Freemasons nakusema dogoo ana degreee ya 3 za umasonia.


Anyways binafsi nampa bigup japo njia aliyopitia sio sawa.
Mawazo ya kimsikini haya,kila aliyefanikiwa fremasons,vitu havitokei,inabidi ujue unataka nini na ujitume ili ukipate kile unachokitaka na Diamond hilo kafanikiwa.
 
Mawazo ya kimsikini haya,kila aliyefanikiwa fremasons,vitu havitokei,inabidi ujue unataka nini na ujitume ili ukipate kile unachokitaka na Diamond hilo kafanikiwa.
Mkuu ipo siku utayakubali maneno yangu. Na ukitaka kujua haya nenda njee ya upeo Wa macho yako nakuhakikishia utayaona mengi sanaa tenaa Sana'a.

Ndugu kuna vitu vya siri Sana vinaendelea kwenyee hii dunia.
 
Mkuu ipo siku utayakubali maneno yangu. Na ukitaka kujua haya nenda njee ya upeo Wa macho yako nakuhakikishia utayaona mengi sanaa tenaa Sana'a.

Ndugu kuna vitu vya siri Sana vinaendelea kwenyee hii dunia.
Acha wivu brother, komaa Na wewe ufanikiwe.Wewe Nani mpaka kujua siri za mafanikio ya wenzio.may be ur freemason too brother.
 
Mkuu ipo siku utayakubali maneno yangu. Na ukitaka kujua haya nenda njee ya upeo Wa macho yako nakuhakikishia utayaona mengi sanaa tenaa Sana'a.

Ndugu kuna vitu vya siri Sana vinaendelea kwenyee hii dunia.
Huyu jamaaa kuna mtu namuhifadhi jina alimuwezea kinaga ubaga.

Alinipa mifano mingi na inayoendana na ukweli.

Miongoni mwayo nii hii kuwa kila aliemzawadia gari kipindi kile hayupo tena kwenye hii dunia miongoni mwao ni Mzee ngurumo.

Kingine huyu jamaa ataa tembea na wanawake wengi na kila mwanamke alietembea naee hatoo kaaa aoleweee. Na hata dumu kwny mahusiano.

Yaaani mengi mengi mengi mnooo
Lingine lililonishangaza na pengine mi mwenyewe nilikuwa nalifanya nii kuwa nyimbo zingine akiimba utamsikia anataaamkaa "sachaaaaa"

Kumbe bwana pale anamkusudia sir chande kwa maana ndiye aliemfanikishia uanachama wake. Na huyu jamaa ameshakufa.na nimaarufu sana maana alikuwa no mwenyekiti Wa kimasonia Afrika maahariki. Na Kama uki Google utakuta wamepiga picha ya pamoja na platnum.


Hayo niii baadhi tuu mkuu yapo mengi semaa ilii povu ni kutaka kukufahamisha.
 
WCB wameshawapumbaza wabongo kweli...Diamond akinya breaking news ..kiato kimekatika breaking news. kifesi kuachishwa kazi breaking news.. kiba kuoa mombasa wamemupotezea... kiba sijuwe kafanya nini hawataki kujuwa ... kila wanachotaka kujuwa nikujuwa ya WCB whyyyyy whyyyyy [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] yooooooooooooh
"Hate is too big of burden to bear. Hate destroy the hater" - Martin Luther
 
Acha wivu brother, komaa Na wewe ufanikiwe.Wewe Nani mpaka kujua siri za mafanikio ya wenzio.may be ur freemason too brother.
Aisee mie wivu Wa husuda sina ila ushauri wako naubeba ngoja na mie ni komae huenda nikatusua inshaallah.
 
Sema kiba hapend tu kiki sa hizi yuko mombasa kwa wala bata
 
Mkuu ipo siku utayakubali maneno yangu. Na ukitaka kujua haya nenda njee ya upeo Wa macho yako nakuhakikishia utayaona mengi sanaa tenaa Sana'a.

Ndugu kuna vitu vya siri Sana vinaendelea kwenyee hii dunia.
Mimi kaka nilikuwa kama wewe chuoni nimeangalia hizo video za freemason,wachambuzi mia kidogo,mpaka nikajiuliza ,naangalia hivi vitu napata faida gani hamna,nikajiuliza mara ya mwisho kusoma biblia ni lini ,nikaona upuuzi kwa sababu kila aliyefanikiwa freemason,kila style ya freemason,lkn ukisoma story zao unajua kuna sehemu akili ilitumika na jasho liliwatoka mpaka kuja kufanikiwa nikaona upuuzi nimeacha na nimefuta documentary zote za freemason.Ukiendekeza hizi stori za freemason unaweza kukata gogo wima,kisa kuchuchumaa ni style ya freemason wanapotoa sadaka,UPUUUZI mtupu fanya kazi,usitegemee bahati wala uchawi.Kaka hivo vitu vya freemason nilikuwa deep tena zaidi yako ww.
 
Huyu jamaaa kuna mtu namuhifadhi jina alimuwezea kinaga ubaga.

Alinipa mifano mingi na inayoendana na ukweli.

Miongoni mwayo nii hii kuwa kila aliemzawadia gari kipindi kile hayupo tena kwenye hii dunia miongoni mwao ni Mzee ngurumo.

Kingine huyu jamaa ataa tembea na wanawake wengi na kila mwanamke alietembea naee hatoo kaaa aoleweee. Na hata dumu kwny mahusiano.

Yaaani mengi mengi mengi mnooo
Lingine lililonishangaza na pengine mi mwenyewe nilikuwa nalifanya nii kuwa nyimbo zingine akiimba utamsikia anataaamkaa "sachaaaaa"

Kumbe bwana pale anamkusudia sir chande kwa maana ndiye aliemfanikishia uanachama wake. Na huyu jamaa ameshakufa.

Sio "sachaaaa" ni ZACHAAAA huyu alikuwa producer AM records kpindi hicho
 
Huyu jamaaa kuna mtu namuhifadhi jina alimuwezea kinaga ubaga.

Alinipa mifano mingi na inayoendana na ukweli.

Miongoni mwayo nii hii kuwa kila aliemzawadia gari kipindi kile hayupo tena kwenye hii dunia miongoni mwao ni Mzee ngurumo.

Kingine huyu jamaa ataa tembea na wanawake wengi na kila mwanamke alietembea naee hatoo kaaa aoleweee. Na hata dumu kwny mahusiano.

Yaaani mengi mengi mengi mnooo
Lingine lililonishangaza na pengine mi mwenyewe nilikuwa nalifanya nii kuwa nyimbo zingine akiimba utamsikia anataaamkaa "sachaaaaa"

Kumbe bwana pale anamkusudia sir chande kwa maana ndiye aliemfanikishia uanachama wake. Na huyu jamaa ameshakufa.na nimaarufu sana maana alikuwa no mwenyekiti Wa kimasonia Afrika maahariki. Na Kama uki Google utakuta wamepiga picha ya pamoja na platnum.


Hayo niii baadhi tuu mkuu yapo mengi semaa ilii povu ni kutaka kukufahamisha.
Ukisikia kupuyanga ndio huku acha akili za kimasikini dogo.
 
K za mama zenu mnapataga wapi maneno ya kumuongelea mtu wa kutoa ngoma moja kwa mwaka???

Mnamchukia Kiba aimbe asiimbe,kuna wanaompenda Kiba aimbe asiimbe...
 
Diamond ndiye tanzania n tz ndio diamond.hakuna mtu maarufu tz nzima zaidi ya diamond.hata mtoto mdogo ukitaja mond anaelewa ila kibamia na anko deshi kwenda disko hawafahamiki
yoooooooh
 
K za mama zenu mnapataga wapi maneno ya kumuongelea mtu wa kutoa ngoma moja kwa mwaka???

Mnamchukia Kiba aimbe asiimbe,kuna wanaompenda Kiba aimbe asiimbe...
mamaako hayupo mbwa we nenda unyonye ulale
 
WCB wameshawapumbaza wabongo kweli...Diamond akinya breaking news ..kiato kimekatika breaking news. kifesi kuachishwa kazi breaking news.. kiba kuoa mombasa wamemupotezea... kiba sijuwe kafanya nini hawataki kujuwa ... kila wanachotaka kujuwa nikujuwa ya WCB whyyyyy whyyyyy [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] yooooooooooooh
Mondi wcb, je kiba ni WC?????
 
Back
Top Bottom