Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 1,177
- 2,551
Kwa mahesabu yangu zimebaki nafasi mbili za wachezaji wa kigeni mpaka sasa.....moja ni MAEMA ambaye ni kiungo mshambuliaji....nyingine NAHISI ni ya full back namba 3 kureplace valentine noumer,, mpaka hapo tayari idadi ya wachezaji 12 itakuwa imekamilika.
Najiuliza,, Simba SC imekuwa na Changamoto ya mda mrefu wa kiungo ya CHINI,,, wameridhia kubaki na Kante na Kagoma tu kwa msimu huu.
Mashindano ni mengi kuna injury, uchovu nk nk....mnataka kutuambia back up ya hawa watu wawili ni Semfuko na mzamiru ( mzee) kweli???,, ur not serious??
Anyways acha tuone
Najiuliza,, Simba SC imekuwa na Changamoto ya mda mrefu wa kiungo ya CHINI,,, wameridhia kubaki na Kante na Kagoma tu kwa msimu huu.
Mashindano ni mengi kuna injury, uchovu nk nk....mnataka kutuambia back up ya hawa watu wawili ni Semfuko na mzamiru ( mzee) kweli???,, ur not serious??
Anyways acha tuone