Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 3,871
- 8,381
Na vip ikiwa simba itashinda au kutoa suluhu (suruhu??)Hakuna timu hapo ila kunawacheza mpira hivi nyie hamkuona? Kama huamini subiri Des 11 pablo ndo ataamini maneno haya.
Na vip ikiwa simba itashinda au kutoa suluhu (suruhu??)Hakuna timu hapo ila kunawacheza mpira hivi nyie hamkuona? Kama huamini subiri Des 11 pablo ndo ataamini maneno haya.
Alizuga tu ili asionekane kazembea goli likafungwaKwa namna alivyoanguka jana kapombe, ni mtu mwenye matatizo ya akili tu ndo atasema kuwa kajiangusha ..
Unaelewa kilichoandika au unajawa na mahaba ya utimu. Narudia tena hakuna clip ya video inayoonesha kuna physical contact yoyote ile, unazosemea wewe ni picha picha tu. Kama wewe una ushahidi wa video naomba niwekee hapa. Inamaana bila mchezaji mwenyewe kukiri tuzingepata ushahidi mwingine kutoka kwa Azam Tv. Kuna mapungufu upande wa camera za Azam hazichukui matukio katika angle zoteUtopolo mko wabishi sana hata mchezaji mwenyewe kakiri kusukuma Kapombe wewe bado unamwaga povu!
mbona Ni maneno ya kawaida sana hata.Hakuna timu hapo ila kunawacheza mpira hivi nyie hamkuona? Kama huamini subiri Des 11 pablo ndo ataamini maneno haya.
Ndiyo hivyo, Ila vihiyo wamekomaa utadhani ndiyo mwisho wa dunia.Kwenye mpira mtu akiruka header alaf wew ukamsukuma hata kidogo lazma asogee mbele aanguke
Kwaiy kama jamaa alikiri kuwa alimsukuma japo kidogo basi ameshamaliza,point ni kuwa alimsukuma referee kaona bas kaweka faul
Amekiri wapi? Naomba link tafadhali maana hapa chini huyu jamaa kasema kua alifunga goli likakataliwa huku akiwalaumu waamuzi wa nchii hii akiwaita ni tatizo.mchezaji mwenyewe amehojiwa akakiri alimsukuma lkn siyo Sana.
Sasa unakuja kujamba humu ili nini.
Aya mambo unayoongea leo wenzako tuliongea kipind cha usajili tutaonekana hatujui mpira ,ukwel ni kwamba jana wa kupongezwa kwanza ni refa alikua sehem sahihi kuona lile tukio ,lkn apo apo aya matatzo simba wamejitakia wenyewe acha wasumbuke na bado watalia sana msimu huu kuendekeza siasa na maneno ktk mpra madhara yake ndio aya unaona kabisa timu ina shida sehem fulan fulan pia kuna wachezaj wamechoka kubwa zaid mpinzan wako ambae amekosa ubingwa miaka minne amejiimalisha badala na ww utoke ulipo uende juu zaid lkn walitaka kuish kwa mazoea mwsho wake ndio aya kila mechi kwao ngum simba iliitaj wachezaj wanne au watano ambao moja kwa moja wataingia ktk kikos cha kwanza kuanzia bek za pemben kiungo mkabaj ,namba nane na kum pamoja strike wamesajili wachezaj weng lkn viwango sio kama walivyotarajia usajil wa kubahatisha na wa mazoeaIwe kweli ama uongo,
Jana simba imecheza kama team ya mchangani, coach alimuongeza mzamiru na nyoni team ipate balance katikati ndo kwanza waliendelea kupwaya.
Onyango jana aliku hovyoo saana. Kama Simba wanataka kurudi kwenye kiwango ni wakati sasa wa kuwaacha Erasto Nyoni, Bocco, Mzamiru,Onyango, Wawa,Gadiel,Ajibu.
Kapombe asiwe wa kutegemea atafutiwe mbadala mwenye uwezo mkubwa.
Apatikane na striker mzuri nje ya hapo tutajifariji ila hao wachezaji viwango vyao vimegota.
Amna kitu mzee utetezi wako mwepesi sana,ukweli ni kwamba kama wanavyobebwa wengine na Simba pia inaweza kubebwa,wapinzani wa Simba wasione kwamba Simba haina uwezo wa kubebwa kama wanavyobebwa wao.
Upo sahihi kiongozi wachezaji wenyewe wanacheza bila intensity.Aya mambo unayoongea leo wenzako tuliongea kipind cha usajili tutaonekana hatujui mpira ,ukwel ni kwamba jana wa kupongezwa kwanza ni refa alikua sehem sahihi kuona lile tukio ,lkn apo apo aya matatzo simba wamejitakia wenyewe acha wasumbuke na bado watalia sana msimu huu kuendekeza siasa na maneno ktk mpra madhara yake ndio aya unaona kabisa timu ina shida sehem fulan fulan pia kuna wachezaj wamechoka kubwa zaid mpinzan wako ambae amekosa ubingwa miaka minne amejiimalisha badala na ww utoke ulipo uende juu zaid lkn walitaka kuish kwa mazoea mwsho wake ndio aya kila mechi kwao ngum simba iliitaj wachezaj wanne au watano ambao moja kwa moja wataingia ktk kikos cha kwanza kuanzia bek za pemben kiungo mkabaj ,namba nane na kum pamoja strike wamesajili wachezaj weng lkn viwango sio kama walivyotarajia usajil wa kubahatisha na wa mazoea
Kwa Onyango nabisha! Nusu mtu nusu chumaWatu wa nchi hii tunawaza kawaida sana
mchezaji mwenyewe amehojiwa akakiri alimsukuma lkn siyo Sana.
Sasa unakuja kujamba humu ili nini.
Kama replay inaonyesha hakuna mgusano unataka nini zaidiNaona Kama azam wanaleta utimu ukiangalia clip yao inaonesha Hamna mgusano lakin Mchezaj mwenyew George mpole anasema alimsukuma alafu azam huwa hawaleti zile clip za yanga ambazo n contravasho
Achana ni picha angalia videoView attachment 2030723
hatukuona vizuri,alisukuma.
Hiyo clip nimeisikiliza afu saizi nimeisahau title yake, inasikitisha sana mchezaji kuchezewa foul mbaya kama ile alafu refa hatoi kadimchezaji mwenyewe amehojiwa akakiri alimsukuma lkn siyo Sana.
Sasa unakuja kujamba humu ili nini.
Achana na hii clip iliyochukuliwa na camera yenye lenzi mbovuAchana ni picha angalia videoView attachment 2030837
Iweke hapa mkuuAchana na hii clip iliyochukuliwa na camera yenye lenzi mbovu
Kuna ile iliyochukua kwa view ya mbele itafute
Iweke hapa mkuu