Kweli si kweli?

Kweli si kweli?

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,286
Reaction score
10,831
kweli.jpg
 
Umeniharibia taimingi ya nyama choma aiseeee
 
Kwenye kunya hakuna mbwembwe na hasa uwe umepata tumbo la kuharisha he heeeeee:A S cry::A S cry:
 
Hahahahahaha tena unajitenga vyema
Umenichekesha!
 
Ooyooo inategemea na toelit aina gani maana kuna cha shimo na cha kukaa hiki cha shimo huwa hakina nyondo na hiki cha kukaa ndo kina kile uwashorobaro
 
Ooyooo inategemea na toelit aina gani maana kuna cha shimo na cha kukaa hiki cha shimo huwa hakina nyondo na hiki cha kukaa ndo kina kile uwashorobaro

swala ni kwamba haina staili nyingi
 
Si kweli. Mimi bila kusikiliza muziki huku nikiruka Sagha Rhumba na Ndombolo sinyi vizuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom