Kweli shetani hana rafiki

Knock life

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
2,465
Reaction score
7,763
Shetani hana rafiki

Wale machawa wote waliokuwa wakitangaza maredioni kumbe sio ithibati hazikai vizuri ila hawana vyeti vya form four.

Sasa waje mtaani waone mambo yalivyo.
 
Acha chuki machawa ao unawasemea wana pesa kibao
 
Wanasoma ili walisiti form IV; nilimuona mmoja Zembw.... anaenda tuition na madaftari.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ,,ujamuona na kitengee uko mkuu..
 
Shetani hana rafiki .

Wale machawa wote waliokuwa wakitangaza maredioni kumbe sio ithibati hazikai vizuri Ila hawana Vyeti Vya form four .

Sasa waje mtaani waone mambo yalivyo .
Vyeti na utendaji halisi ni tofauti kabisa, ila taaluma juu ya jambo unalolifanyia kazi sio ya kupuuza.
 
Hiyo Ithibati ni sawa na hisabati? Maana naona imepukutisha watangazaji darasani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…