Kweli Samia kajitahidi sana

Kweli Samia kajitahidi sana

SweetyCandy

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2022
Posts
4,800
Reaction score
8,989
Jana kuna mahali kijiji kidogo cha ruvuma watu wanadai wameunganishiwa maji tokea uhuru hawakuwahi kuwa na maji wanachota kwenye vidimbwi.

Nawamedai tokea wapate uhuru hawakuwa na vitu muhimu kama maji,umeme,hospitali ,

Sasa kama kweli maji yamewafikia na umeme na hospitali , tokea enzi za Mwalimu Nyerere hawana vitu muhimu, kwani walikuwa hadi waende mjini kupata huduma za matobabu na barabara hazipitiki na zimepitika hamuoni huyu mama ameweza ,anajitahidi ??

Simsemi nikamilifu ila kweli kama mwanamke amejitahidi sana hata Magufuli hakufikia hatua ya huyu mama alichofanya yeye alikuwa anaelekea pabaya tu na kujinufaisha mwenyewe na mkoa wake na Chato yake na majirani wake.

Sijaona juhudi yeyote aliyowahi kuifanya nikuongeza tu deni la Taifa nakutunyanyasa kiakili.
Halafu hajatatua hali ya wananchi alikuwa yupo tu . Kama mtu kajitahidi ni huyu mama pekee.

Nakila mtu anakasoro yake . Na hana ukamilifu wowote hadi sasa Magufuli angekuwepo tungekuwa tunachaguliwa nguo zakuvaa alishaanza programu yakufufua viwanda vya ushonaji vya kushona nguo spesho azitakazo valiwa hasa wanawake .

Na aliharibu mfumo wa misaada itokayo njee ,kingine kuwatoa wawekezaji ambao asilimia kubwa walikuwa wanaajiri watanzania maelfu na maelfu na walikosa kazi na maisha kisa uamuzi wake .

Yeye ndio alianza kukata leseni za biashara kuanzia machinga hadi wafanyabiashara wanaojiweza .

Alitesa watu sema nyie aliwadanganya kwa kuwasikiliza wenye shida katika sehemu mbali mbali anapopita . Nakuwaaminisha kuwa kuna watumishi waserikali ambao hawafanyi kazao vizuri eti anawatoa .

Hakuna mwema ila mtu akifanya mema lazima mtu aseme
 
Huku akiwa kavunja rekodi ya marais woote watano waliowahi kutawala nchi hii kwa kukopa mara tatu zaidi yao na haijulikani hizo pesa zinaenda wapi

Hivi jamani tuambiene ukweli, ,zaidi ya 60 Tr alizokopa Samia, hizi si zinaweza kabisa kumaliza matatizo yoote ya maji, umeme, vyumba vya madarasa vya kutosha watoto wa mpaka watakao soma miaka 10 ijayo, matatizo ya umeme, sijui miundombinu na mtandao wa barabara karibu nchi nzima kwa kuziunganisha wilaya na tarafa zake kwa lami

Sasa zimeenda wapi?

Maana matatizo bado yapo pale pale
 
Amejitahidi kukopa labda...

Vuta picha sasa hivi amefikisha T 116 from T 55 na miradi haijafika popote...
 
Hii nchi yote ilipaswa kusiwe na shida ya maji na umeme, wapo nje ya muda haina haja kuwasifu...
 
K
Jana kuna mahali kijiji kidogo cha ruvuma watu wanadai wameunganishiwa maji tokea uhuru hawakuwahi kuwa na maji wanachota kwenye vidimbwi.

Nawamedai tokea wapate uhuru hawakuwa na vitu muhimu kama maji,umeme,hospitali ,

Sasa kama kweli maji yamewafikia na umeme na hospitali , tokea enzi za Mwalimu Nyerere hawana vitu muhimu, kwani walikuwa hadi waende mjini kupata huduma za matobabu na barabara hazipitiki na zimepitika hamuoni huyu mama ameweza ,anajitahidi ??

Simsemi nikamilifu ila kweli kama mwanamke amejitahidi sana hata Magufuli hakufikia hatua ya huyu mama alichofanya yeye alikuwa anaelekea pabaya tu na kujinufaisha mwenyewe na mkoa wake na Chato yake na majirani wake.

Sijaona juhudi yeyote aliyowahi kuifanya nikuongeza tu deni la Taifa nakutunyanyasa kiakili.
Halafu hajatatua hali ya wananchi alikuwa yupo tu . Kama mtu kajitahidi ni huyu mama pekee.

Nakila mtu anakasoro yake . Na hana ukamilifu wowote hadi sasa Magufuli angekuwepo tungekuwa tunachaguliwa nguo zakuvaa alishaanza programu yakufufua viwanda vya ushonaji vya kushona nguo spesho azitakazo valiwa hasa wanawake .

Na aliharibu mfumo wa misaada itokayo njee ,kingine kuwatoa wawekezaji ambao asilimia kubwa walikuwa wanaajiri watanzania maelfu na maelfu na walikosa kazi na maisha kisa uamuzi wake .

Yeye ndio alianza kukata leseni za biashara kuanzia machinga hadi wafanyabiashara wanaojiweza .

Alitesa watu sema nyie aliwadanganya kwa kuwasikiliza wenye shida katika sehemu mbali mbali anapopita . Nakuwaaminisha kuwa kuna watumishi waserikali ambao hawafanyi kazao vizuri eti anawatoa .

Hakuna mwema ila mtu akifanya mema lazima mtu aseme
kweli kabisa Samia mitano tena
 
Amejitahidi kukopa labda...

Vuta picha sasa hivi amefikisha T 116 from T 55 na miradi haijafika popote...
Zote Rostam kajiekea mfereji zinaenda kwake yaaan ndo maana wanatumia nguvu nyingi ikiwemo ata watu kupotea ili tu wabaki. Na wameshajiekea system watadumu adi 2040
 
Kwakweli mama amejitahid xana kupeleka huduma karib na wananchi mfamo kijijini kwa bibi angu umeme umefika ,watu wanaona kama ndoto ,hongr xana mama
 
Back
Top Bottom