Asilimia 90 za thread ndani ya jukwaa hili zinamhusisha Diamond kwa njia moja au nyingine..
Asanteni Watanzania kwa kukubali kilichokuwa Bora na kwa wale wanaomkataa wanajikuta wakimkubali Indirectly kwa kuandika Habari zake kila saa kama sio kila siku.
Nilikuwa sina mpango wa kuandika hii ila Nimejionea Kuwa Diamond ndiye Msanii anayetajwa zaidi Jf. nimeamini Kiba mwisho leaders Jf kila mtu Diamond.
Sponsered by Maishabilaunafkihayaendi.com