Kweli Ndugai umelewa madaraka

Kweli Ndugai umelewa madaraka

Jamani kweli huyu naibu spika Jon Ndugai kwa kauli zake leo amelewa madaraka, mapema baada ya kipindi cha maswali na majibu, akiwa katika kutangaza matangazo mbalimbali, amewalaumu wapinzani pamoja na mambo mengine anasema wamekuwa wakilalamika kuwa kiti cha spika kinaupendeleo wakati si kweli.

Anasema robo 3 ya wabunge wote ni wa CCM na robo tu ni wa upinzani lakini kwenye kipindi cha maswli na majibu utaona kabisa kuwa wapinzani ni wengi kuliko wale wa CCM, na anasema anaweza amshawishi spika wabadili utaratibu ili kila wabunge 4 wanaouliza maswali 1 tu atoke upinzani. Binafsi nadhani Ndungai anataka kuzima hoja, hoja ya wapinzani na wananchi kwa ujumla, ni kwamba maamuzi ya spika yanakuwa yanapendela upande mmoja na sio uwiano anaousema wa kuuliza maswli.

Pili ndugai afahamu kuwa watanzania tunajua wabunge wa CCM walio wengi hawaibani serikali bali kuisupport serikali kwa kila kitu hvyo huwezi ukawaona wakiuliza maswali kama wapinzani.

Vilevile Ndugai amewaponda waandishi wa habari, kuwa wanatakiwa wariport habari zao kwa ufasaha, anasema unaposema wabunge wametoka nje ya bunge wakati wabunge wametoka nje ya ukumbi tu na wapo maeneo ya bunge(hawajatoka kwenye geti la bunge0 na ameendea kwa kusema mbunge mmoja anaweza toka, wabunge kwa makundi nk. Wasiwasi wangu ni kwamba kama na wenyewe huu ni utaratibu basi ni wa kipumbavu, kwamba wabunge wanaweza wakatoka nje ya ukumbi provided kwamba hawajatoka nje ya geti!

Je, Ndunngai, anaweza akawa nje ya darasa chuoni halafu mw. alete quiz aseme alikuwepo darasani kwa kuwa hakuwa nje ya geti la chuo?

hayo ndio matatizo yakubebana. Na mwisho unakuja ndugai nawenzake watakuwa wapole sana.
 
hayo ndio matatizo yakubebana. Na mwisho unakuja ndugai nawenzake watakuwa wapole sana.

Ni kweli anaonyesha upendeleo wa wazi kwa wabunge wa CCM na Serikali.

Wakati waziri anachangia hoja ya Mnyika, amemwacha akapitiliza muda wake wa robo saa kufuatana na kanuni hadi mbunge Lisu alipohoji! Wakati huo waziri alikuwa ametumia dakika 25!
 
Jamani kweli huyu naibu spika Jon Ndugai kwa kauli zake leo amelewa madaraka, mapema baada ya kipindi cha maswali na majibu, akiwa katika kutangaza matangazo mbalimbali, amewalaumu wapinzani pamoja na mambo mengine anasema wamekuwa wakilalamika kuwa kiti cha spika kinaupendeleo wakati si kweli.

Anasema robo 3 ya wabunge wote ni wa CCM na robo tu ni wa upinzani lakini kwenye kipindi cha maswli na majibu utaona kabisa kuwa wapinzani ni wengi kuliko wale wa CCM, na anasema anaweza amshawishi spika wabadili utaratibu ili kila wabunge 4 wanaouliza maswali 1 tu atoke upinzani. Binafsi nadhani Ndungai anataka kuzima hoja, hoja ya wapinzani na wananchi kwa ujumla, ni kwamba maamuzi ya spika yanakuwa yanapendela upande mmoja na sio uwiano anaousema wa kuuliza maswli.

Pili ndugai afahamu kuwa watanzania tunajua wabunge wa CCM walio wengi hawaibani serikali bali kuisupport serikali kwa kila kitu hvyo huwezi ukawaona wakiuliza maswali kama wapinzani.

Vilevile Ndugai amewaponda waandishi wa habari, kuwa wanatakiwa wariport habari zao kwa ufasaha, anasema unaposema wabunge wametoka nje ya bunge wakati wabunge wametoka nje ya ukumbi tu na wapo maeneo ya bunge(hawajatoka kwenye geti la bunge0 na ameendea kwa kusema mbunge mmoja anaweza toka, wabunge kwa makundi nk. Wasiwasi wangu ni kwamba kama na wenyewe huu ni utaratibu basi ni wa kipumbavu, kwamba wabunge wanaweza wakatoka nje ya ukumbi provided kwamba hawajatoka nje ya geti!

Je, Ndunngai, anaweza akawa nje ya darasa chuoni halafu mw. alete quiz aseme alikuwepo darasani kwa kuwa hakuwa nje ya geti la chuo?
anachojidanganya anadhani kwa upendeleo wananchi wataona kwamba anafanya vizuri kwa upande wa ccm kumbe anachofanya ni vizuri kwa wabunge wa ccm lakini wanaccm mitaani wanachukia upendelao ,wanachotaka ni hoja zenye manufaa kwa wananchi kama hile hoja ya mnyika ya maji safi kwa watu wa dar anapoiponda watu wa dar lazima wamchukie yeye na chama chake,majibu 2015
 
Back
Top Bottom