Kweli mapenzi upofu, daaah

Kweli mapenzi upofu, daaah

big dreamer

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
401
Reaction score
1,089
Hivi mrembo kama huyu unamuachaje halafu unaenda kwa yule daaah kweli nimeamini mapenzi huwa hayana definition.

278365214_141137661815751_2867195443264441091_n.jpg

Daaah sijui huyu mwanamama kjl alimpa nini Yule mmakonde

Screenshot_20220607-095038_1.jpg

Screenshot_20220607-095015_1.jpg
Screenshot_20220607-094939_1.jpg
Screenshot_20220607-095001_2.jpg

Kwangu mimi mpaka leo bado sijamuelewa akili ya mmakonde
 
Kawaida sana hiyo, we unateseka na picha na wala hujui kama yaliyomo yamo….. tembo keshawala wote ana haki ya kutofautisha.
 
Shakira tu na mauno yake kama feni jamaa kaona isiwe tabu. Kwahiyo mjomba Achumani siri anayo yeye mwenyewe.
 
Hivi mrembo kama huyu unamiachaje alafu unaenda kwa yule daaah kweli nimeamini mapenzi huwa hayana definition
View attachment 2252997
View attachment 2252998 View attachment 2253000View attachment 2252999


Daaah sijui huyu mwanamama kjl alimpa nini Yule mmakonde
View attachment 2253002
View attachment 2253003View attachment 2253004View attachment 2253005

Kwangu mimi mpaka leo bado sijamuelewa akili ya mmakonde
Tatizo tako mzee, mimi mwenyewe mwanamke asiye na tako hata aweje atanisamehe tu siwezi kupitia tohara kwa maumivu halafu nitoke na asiye na tako
 


Mwenye Kupenda Haoni Chongo Huita Kengeza

 
Kama umezoea kula bata za majuu
Bongo ni kijijini tu lazima pakuboe
Vitu vingi havipatikani
Nasikia mrembo alitaka wakaishi Amerika
Ndiyo wakashindwana bongo hapaelewi

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hivi mrembo kama huyu unamiachaje alafu unaenda kwa yule daaah kweli nimeamini mapenzi huwa hayana definition
View attachment 2252997
View attachment 2252998 View attachment 2253000View attachment 2252999


Daaah sijui huyu mwanamama kjl alimpa nini Yule mmakonde
View attachment 2253002
View attachment 2253003View attachment 2253004View attachment 2253005

Kwangu mimi mpaka leo bado sijamuelewa akili ya mmakonde
Utakuta ni kitu kidogo tu kimempagawisha Mmakonde. Pengine miguno tu kwenye kwichikwichi.....hahahahaha.,...
 
Mimi Mwanamke hata awe mzuri kiasi gani lakini akishakuwa Mzazi tu basi mizuka yote inapotea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom