Kweli maisha connection

cabo

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2016
Posts
4,772
Reaction score
5,308
Aiseee nimeajiriwa ofisi moja hapa mjini kwa miezi kadhaa sasa kutokana na ucheshi wangu nimezoeana na watu kwa mda mfupi sana kwenye story story za hapa na pale za wanazengo wenzangu wahapo ofisi bhana kilantakae ingizia neno la imekuwaje uko hapa anasema connection yani karibia staff wote connection hakuna hata aliyefanya interview ni connection duh nikasema duh sasa kina kajambe nani wasio na connection itakula kwao mi mwenye nikajitathimini niko mule kwa connection pia nikasema wote ngoma drooo tuendeleeni kuchapa kazi kimoyo moyo lakini ...kama boss uko humu nisamehee tu maana kazi bado naipenda ila CONNECTION. Kuitwa interview mbwembwe tu
 
Nifanyie connection basi na mimi nipate kazi hapo kamanda
 
Aseh unatushauri nini Mkuu si tuona tafita ajira
Tutengenezeje Connection kama ni watoto wakajamba
Tunaomba binu zakupata kwanza hiyo connection

Je wanaoitwa kwenye interview wanaedaga tu
Unawashauri vijana wafanye nini ili waweze kufanyikiwa kupata connection?

Watu gani muhimu zaidi wakuwafata ili mfu aweze kupata connection Mkuu
 
Hadi kukusanya madeni connection? Duh
 
Bar unaemda y uswahilini, club mnazoenda za kiswahili hiyo connection mtaitoa wapi wenzenu wanaend bar classic ambazo wakuu a idara wanapumzika uko baada ya michoko ya siku, club classic ambazo watoto wakishua wakija likizo bongo wanamwagika uko

Sasa tukionana nao mwezi wakakuzoea wakilewa wanalopoka upo wapi unamwambia home tu unasikia chukua namba yangu kesho nitafute
 
Siku hizi naona ajira nyingi Za mashirika ya umma zinapitia sekretalieti ya ajira,kwani hadi huko kunaitaji connection?,maana hawa jamaha wanaonekana wako fair bidii yako tu kwenye interview
 
Siku hizi naona ajira nyingi Za mashirika ya umma zinapitia sekretalieti ya ajira,kwani hadi huko kunaitaji connection?,maana hawa jamaha wanaonekana wako fair bidii yako tu kwenye interview
Hapo hapo kwenye interview hapo ndo connection znatengenezwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…