Plot Agent
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 311
- 20
Huu ni mwaka wangu wa pili niko mtaani. Nahisi kukata tamaa na kuendelea kutafuta ajira maana nimeshatuma CV zaidi elfu 5 hadi sasa lakini nimeitwa kwenye interview mara mbili tu.
Ebu tazama inavyokatisha tamaa, kweli kupata kazi ni kazi na chezea kazi uone ilivyo kazi kupata kazi. Wana jamvi tusaidiane,mimi sichagui kazi ilimradi tu iwe halali. Pia nipo tayari kufanya kazi kwa kujitolea kwa muda wa miezi 6.
Napatika kupitia namba 0752953860
Ebu tazama inavyokatisha tamaa, kweli kupata kazi ni kazi na chezea kazi uone ilivyo kazi kupata kazi. Wana jamvi tusaidiane,mimi sichagui kazi ilimradi tu iwe halali. Pia nipo tayari kufanya kazi kwa kujitolea kwa muda wa miezi 6.
Napatika kupitia namba 0752953860