MduduWashawasha
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 1,653
- 605
Nimepita mahali tofauti tofauti na kukutana na malalamiko ya abiria wa shirika letu pendwa kwamba hamkurusha ndege kwenda destination mliyozindua juzi tena bila maelezo yoyote.Nachelea kutoa conclusion ngoja tusubiri maelezo yenu