Kweli huu ni ubinadamu.....?

Kweli huu ni ubinadamu.....?

Joined
Sep 2, 2013
Posts
10
Reaction score
2
Kweli huu ni ubinadamu kweli. Kuna mdada alifiwa na wazazi wake wote, akiwa na miaka 8 tu. Alipofikisha miaka 14 alikutana na mwanaume ambaye ni mfanyabiashala ya matunda. Kaka wa watu alijinyima akamsomesha. Mpaka sasa hivi na vyonena huyo dada yupo chuo UDSM. Heti leo ametuma komenti yake. Nanukuu " Jamani naomba ushauri kuna mkaka kanisomesha toka shule ya msingi hadi sasa nipo chuo. Nahitaji kumuacha kwasababu siyo type yangu" mwisho wa kunukuu. Haga utaona wazi kuwa kuna wadada wanaharibia wenzao sivii zao. Je? Hii ni haki.
 
Aiseeh! Haki kwa misingi ipi? Kwani walivyoanza mahusiano walikubaliana kuwa watakuja kuoana? Walisaini mkataba? Au huyo kaka aliamua kumsaidia tuu?? MAPENZI na UFADHILI ni vitu viwili tofauti!! La sivyo TENDA WEMA UENDE ZAKO usingoje shukurani!!
 
"Mwanamme kajenga nyumba kwenye hifadhi ya barabara" au "Amejenga nyumba ya familia yake ukweni"
 
ndiyo sio type yake na kaa ukijua huyo dada ni msomi tena hajampenda huyo jamaa na huyo kaka siyo msomi wakioana kuna haya yanaweza kutokea:
1.mwanaume hana mawazo ya kumshauri mwenzie coz ataonekana kilaza!
2.ile thaman ya kuwa kichwa cha familia haitoonekana!
3.utakapotokea ugomvi jamaa ndo atatakiwa kum'bembeleza mke wake yeye si hajasoma!!!
kuepusha hayo ni bora waishi kaka dada tu....
 
Hapo labda hakuo na upebdo wa kweli ila shida tu.... au tania tu ya wale wanawake wasomi au wenye hela
 
Hapo ngoma droo, msomi lakini maskini, pesa zipo lakini mjinga. Hapa ndipo wakati mwingine huwa nafarijika kuwaita wanaojiita wasomi WAJINGA. Alie na elimu tena ya chuo kikuu anakosa uwezo wa kumueleza huyo jamaa (mjinga) kwamba hawaendani?
 
Kama sio type yake alitakiwa kuyajua hayo toka mwanzo, akae akijua dunia hii malipo ni hapahapa
 
Aiseeh! Haki kwa misingi ipi? Kwani walivyoanza mahusiano walikubaliana kuwa watakuja kuoana? Walisaini mkataba? Au huyo kaka aliamua kumsaidia tuu?? MAPENZI na UFADHILI ni vitu viwili tofauti!! La sivyo TENDA WEMA UENDE ZAKO usingoje shukurani!!

ingekuwa mimi ndo nakusomesha yaan namaliza kazi tangu upo sekondari, kama mke wangu vile halafu ukifika huko chuo wala roho hainiumi...!
 
ingekuwa mimi ndo nakusomesha yaan namaliza kazi tangu upo sekondari, kama mke wangu vile halafu ukifika huko chuo wala roho hainiumi...!

ka cjakuelewa vilee!! Ndo mwenzio hajamuacha huoni hadi chuo??usicheze na mapenzi cheza na helaaa!! Cjui kama nimeeleweka!!
 
Angemuoa baada ya kuhitimu kidato cha sita then ndo aende chuo...!!! akiwa na watoto wawili tayari...:crying::crying::crying:
 
Binti wa miaka 14 anawezaje kuchagua mtu wa kuishi naye? Ni mdogo mno hajajua mambo ya mahusiano na ndoa. Kumlaumu eti kakusaliti ni kumwonea tu.Hata kama alikubali kuwa mtakuja kuoana ni kwamba hakujua anachokifanya kutokana na umri mdogo. Anakuja kung'amua baada ya akili kukomaa kuwa wewe sio aina ya mwanaume ambaye angependa kuolewa naye.Wakati huo alishakula vitu vyako vingi.Mimi nashauri kuwa ametenda wema sasa aende zake akatafute mwingine watayefaana. Asijali pesa alizowekeza biashara haijalipa abadilishe tu bishahara nyingine badala ya kuwaza hasara aliyopata au kuaribu kumlazimisha huyo dada aolewe naye. Jambo lingine wanaume wenzangu msipende kutumia matatizo ya mwanamke ili kumpata.Kama umeamua kumsaidia msaidie bila masharti. Ukishamsaidia kama umempenda zungumza naye wakati matatizo yake yameisha ili awe na uhuru wa kufanya uamuzi unaoendana na moyo wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom