msani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 1,801
- 1,191
wana jf
kwanza poleni kwa umiza kichwa ya kila siku na nchi yetu hii ya tz.
Tumesikia kampeni za kuupigia kura mlima kilimanjaro ili uingie kwenye maajabu saba mapya ya dunia na nimesikia tangazo kwenye redio na baadaye wakasema ili kuupigia kura tuma meseji lakni huduma hii ni kwa wateja wa 'zantel na airtel pekee' au utumie website yao ya New7Wonders of Nature
maswali yaliyonichanganya:
1.Idadi ya wateja wa airtel na zantel pekee na kuwabagua wateja wa vodacom na tigo
2.kampeni kuzinduliwa juzi zikiwa zimebakia siku 10
3.idadi ya watz wenye uwezo na matumizi ya kompyuta
4.je tunaweza kweli kushindana na afrika kusini ambao tunashindana nao hapa afrika ukizingatia ni nchi mbili tu afrika ndo zimepata hiyo nafasi na afrika kusini walizindua kampeni zao kwa mbwembwe na matangazo mengi barabarani na redio na tz na matamasha lukuki mwezi mmoja uliopita
halafu mi nikaona isiwe shida basi ngoja niende kwenye website,nilipofungua tu zilikuja documents kibao ambazo nahitaji ku-download kama hata haijafungua,nikajaribu documents kama 2 mwishowe nikakata tamaa kwani MB zangu zilikuwa zinaisha tu bila kujua kama nitafanikiwa kuupigia kura mlima wetu wa kilimanjaro
au hayo ndo maajabu yenyewe,hebu jaribu muone!!!!!!!!!!!!!!
kazi tunayo jamani
kwanza poleni kwa umiza kichwa ya kila siku na nchi yetu hii ya tz.
Tumesikia kampeni za kuupigia kura mlima kilimanjaro ili uingie kwenye maajabu saba mapya ya dunia na nimesikia tangazo kwenye redio na baadaye wakasema ili kuupigia kura tuma meseji lakni huduma hii ni kwa wateja wa 'zantel na airtel pekee' au utumie website yao ya New7Wonders of Nature
maswali yaliyonichanganya:
1.Idadi ya wateja wa airtel na zantel pekee na kuwabagua wateja wa vodacom na tigo
2.kampeni kuzinduliwa juzi zikiwa zimebakia siku 10
3.idadi ya watz wenye uwezo na matumizi ya kompyuta
4.je tunaweza kweli kushindana na afrika kusini ambao tunashindana nao hapa afrika ukizingatia ni nchi mbili tu afrika ndo zimepata hiyo nafasi na afrika kusini walizindua kampeni zao kwa mbwembwe na matangazo mengi barabarani na redio na tz na matamasha lukuki mwezi mmoja uliopita
halafu mi nikaona isiwe shida basi ngoja niende kwenye website,nilipofungua tu zilikuja documents kibao ambazo nahitaji ku-download kama hata haijafungua,nikajaribu documents kama 2 mwishowe nikakata tamaa kwani MB zangu zilikuwa zinaisha tu bila kujua kama nitafanikiwa kuupigia kura mlima wetu wa kilimanjaro
au hayo ndo maajabu yenyewe,hebu jaribu muone!!!!!!!!!!!!!!
kazi tunayo jamani