kamsongole
Senior Member
- Apr 20, 2013
- 111
- 15
Hahaha...dah mi mwenyewe yamenikuta haya. Nimempa mtu aidia ili tuifanye pamoja...kaenda kumwambia rafiki yake ndo wameamua kufanya pamoja mi nimemwagwa lol
Eid mubarak....
Ndo hivo ndugu yangu yaani hata hamu ya kuendelea na hiyo biashara sina maana ni shida kweli.
kweli duniani hatupendani, juzi kati nimekaa na mtu wa nyanda za juu kusini tukapanga kuanzisha biashara ya kupika chakula kwenye sherehe mbalimbali. Tukaweka mikakati kemkem na mipango mizuri, tukadhamiria kuanza kazi mara moja. Basi tukaanza kupanga nani tumshirikishe akawa anawataja watu wa kulekule, mimi bila hiana nikakubali, kumbe ndo najikaanga. Mara ndugu yule akaenda kuwataarifu wale ndugu juu ya mpango wetu. Nikashangaa mwenzao napigwa chini ghafla. Mara yule hatufai tusimuweke wakati mimi ndiye nimeweka mpango mzima. Na jana tu nimetoka kuwakabidhi pesa ya chakula cha arusi ya jumapili kama katibu wa kamati hiyo. Hivi ungekuwa wewe ungefanyaje? Kweli dunia hadaa.
Labda ukose mtaji wa kufanya peke yako. Biashara za kufanya na marafiki / ndugu mwisho wake mara nyingi sio mzuri. Jipange mwenyewe lakini uwe na wafanyakazi wako ambao wapo wengi tu mitaani. Unaweza hata kurubuni wale wenye uzoefu kwa watu wengine ukawalipa vizuri zaidi.
Kuishi na watu kazi sana.
Hahaha...dah mi mwenyewe yamenikuta haya. Nimempa mtu aidia ili tuifanye pamoja...kaenda kumwambia rafiki yake ndo wameamua kufanya pamoja mi nimemwagwa lol
kweli duniani hatupendani, juzi kati nimekaa na mtu wa nyanda za juu kusini tukapanga kuanzisha biashara ya kupika chakula kwenye sherehe mbalimbali. Tukaweka mikakati kemkem na mipango mizuri, tukadhamiria kuanza kazi mara moja. Basi tukaanza kupanga nani tumshirikishe akawa anawataja watu wa kulekule, mimi bila hiana nikakubali, kumbe ndo najikaanga. Mara ndugu yule akaenda kuwataarifu wale ndugu juu ya mpango wetu. Nikashangaa mwenzao napigwa chini ghafla. Mara yule hatufai tusimuweke wakati mimi ndiye nimeweka mpango mzima. Na jana tu nimetoka kuwakabidhi pesa ya chakula cha arusi ya jumapili kama katibu wa kamati hiyo. Hivi ungekuwa wewe ungefanyaje? Kweli dunia hadaa.
kweli duniani hatupendani, juzi kati nimekaa na mtu wa nyanda za juu kusini tukapanga kuanzisha biashara ya kupika chakula kwenye sherehe mbalimbali. Tukaweka mikakati kemkem na mipango mizuri, tukadhamiria kuanza kazi mara moja. Basi tukaanza kupanga nani tumshirikishe akawa anawataja watu wa kulekule, mimi bila hiana nikakubali, kumbe ndo najikaanga. Mara ndugu yule akaenda kuwataarifu wale ndugu juu ya mpango wetu. Nikashangaa mwenzao napigwa chini ghafla. Mara yule hatufai tusimuweke wakati mimi ndiye nimeweka mpango mzima. Na jana tu nimetoka kuwakabidhi pesa ya chakula cha arusi ya jumapili kama katibu wa kamati hiyo. Hivi ungekuwa wewe ungefanyaje? Kweli dunia hadaa.
Ndo hivo ndugu yangu yaani hata hamu ya kuendelea na hiyo biashara sina maana ni shida kweli.