Mwambie basi akuoe kama ww unashobokea mabulunguti na show off.Wengine tunaona hakustaili kupewa ushindi,hata baada ya kengele ya mwisho yy alijitangaza mshindi kabla ya maamuzi ya majaji.Kwa ufupi pambano lilikuwa limepangwa na mshindi alikuwa anafahamika kama ulivyoona.Karibu watu wote ukumbini wamemzoea.Wacheza kamari wa Las Vegas wamefanya yao