Mkuu mimi niliweka laki saba tu ikapita mwezi nikasema ngoja niongeze laki nilivyofika kucheki balance nikakuta wamekata 16000 ikabidi niwatumie sms kwenye kila mtandao waliopo wakanijibu wamekata makato ya account kwa mwaka...
Equity wapo vizuri mno,Ndio
Na pia wana APP nzuri sana.
Mkuu omba bank statement itakup taarifa zlte za miamala yako gharama ni ndogo sana ukiomba unapewaJamani, kulikuwa na mada humu zikilalamikia makato yanayofanywa na CRDB bank, mpaka wengine kutishia kuhama bank hiyo na kutafuta huduma kwenye mabenki mengine. Kwa kweli leo nimepata fresh na kesho itabidi niende kwenye tawi lao nionane na manager nipate ufafanuzi juu ya hili...
Equity na bancabc, ukiwa na NIDA unawapigia simu wanakuja mpaka chumbani kukufungulia akaunti, unawapa na hela wanaenda kukudepostia safi kabisa.Bank gani hawana makato
Kama hauna salio, hawezi kuyajua hayo😂😂😂🤫! Waache wenye masalio ya kutosha watoe takwimu!Mimi natumia CRDB kwa muda na sijaona mengi ya yaliyosemwa na wadau hapo juu. Nashauri kwenda Bank iliyo karibu na uongee na Branch Manager au wahudumu.
Ahsante
Hiyo ndio habari ya mjini! Hakuna banki isiyotoa huduma hiyo!Je hao Equity wana huduma ya mobile banking.
Tarrif Guide 2020 CRDBMm nilishaga jitoa nilipoona makato ni hovyo hovyo nikawaomba wanisajili internet banking nione makatp vzr wakaweka aiseeee ni balaa nilichoka nikaenda ofisin nikawqambia naomba mnipe tarrif guide yenu wakaniambia hawana apa ndio nikajua hawa wez tu mtu unafungua account hujui mouthly maintainance fee sh ngap ndio nn sasa wanaweza kukukata ata laki na ukashindwa kujitetea sababu hamna doc inayoonesha mouthly mantainance fee sh ngap ukiwauliza kwa nn utasikia huwa zinapanda na kushuka piga chin hawa vibaka nenda NMB
NMB gani unayoipia upatu? National microfinance bank!? Hawa nao wanahitaji kujitathmini!Mm nilishaga jitoa nilipoona makato ni hovyo hovyo nikawaomba wanisajili internet banking nione makatp vzr wakaweka aiseeee ni balaa nilichoka nikaenda ofisin nikawqambia naomba mnipe tarrif guide yenu wakaniambia hawana apa ndio nikajua hawa wez tu mtu unafungua account hujui mouthly maintainance fee sh ngap ndio nn sasa wanaweza kukukata ata laki na ukashindwa kujitetea sababu hamna doc inayoonesha mouthly mantainance fee sh ngap ukiwauliza kwa nn utasikia huwa zinapanda na kushuka piga chin hawa vibaka nenda NMB
Sawa customer care wa CRDBMimi natumia CRDB kwa muda na sijaona mengi ya yaliyosemwa na wadau hapo juu. Nashauri kwenda Bank iliyo karibu na uongee na Branch Manager au wahudumu.
Ahsante
Sasa si ndio mmeshawachongea hao Equity? muda si muda nao wataanza kazi.Kwa hapa mjini EQUITY BANK hawana makato hata kuangalia salio ni bure anatumia mke wangu, ila mimi natumia BANCABC makato ni kuangalia salio TU! Sema shida hawana branch nyingi kama hao majambazi.
Kwa cheque mkuu, hata hivyo nilishafanya hivyo mara nyingi huko nyuma lakini sikuwahi kuona makato kama ya wakati huu, ndio maana nikasema kuna kitu kinaendelea ndani ya bank hii hatukijui.Mkuu umetoa kwa njia hipi? Ya simu?