Kweli CRDB ni majanga

Kweli CRDB ni majanga

Hivi hawa CRDB ni member hapa?

Wanatakiwa wasemwe kwa sauti yooote. Halafu wakikimbiwa wanaanza kulalamika hatuna uzalendo wa kutumia vya kwetu

#%'hbjysag^$##^(@*^¥€=÷_€^/:'gi89regu^@+=&%$@
 
Mm nilishaga jitoa nilipoona makato ni hovyo hovyo nikawaomba wanisajili internet banking nione makatp vzr wakaweka aiseeee ni balaa nilichoka nikaenda ofisin nikawqambia naomba mnipe tarrif guide yenu wakaniambia hawana apa ndio nikajua hawa wez tu mtu unafungua account hujui mouthly maintainance fee sh ngap ndio nn sasa wanaweza kukukata ata laki na ukashindwa kujitetea sababu hamna doc inayoonesha mouthly mantainance fee sh ngap ukiwauliza kwa nn utasikia huwa zinapanda na kushuka piga chin hawa vibaka nenda NMB
 
Kwa siku kawaida wanakata 3000 ka hela kangu ka boom kakiingia tu natoa kote
 
Mimi natumia CRDB kwa muda na sijaona mengi ya yaliyosemwa na wadau hapo juu. Nashauri kwenda Bank iliyo karibu na uongee na Branch Manager au wahudumu.
Ahsante
Dunia ina mambo we si pendeshee ufuatilii mm mpaka boss wangu aliamua kuhamisha account ya kampuni NMB jamaa wanakata tena ukitaka kucheka we jiunge internet banking
 
Njoo huku DTB hakuna uswahili
Simshauri mtu ahamie benk hii. Hata mikopo kwa wafanyakazi wenye accounts zao hapo ni ngumu sana. Pia mimi ku renew ATM card ili chukua miezi mitatu kila napoenda najazishwa form upya tena pale makao makuu samora. Nlitoa pesa zangu zote nikawaachia kadi na account yao.
 
Simshauri mti ahamie benk hii. Hata mikopo kwa wafanyakazi wenye accounts zao hapo ni ngumu sana. Pia mimi ku renew ATM card ili chukua miezi mitatu kila napoenda najazishwa form upya tena pale makao makuu samora. Nlitoa pesa zangu zote nikawaachia kadi na account yao.
Kweli kabisa
 
Jamani, kulikuwa na mada humu zikilalamikia makato yanayofanywa na CRDB bank, mpaka wengine kutishia kuhama bank hiyo na kutafuta huduma kwenye mabenki mengine. Kwa kweli leo nimepata fresh na kesho itabidi niende kwenye tawi lao nionane na manager nipate ufafanuzi juu ya hili...
Mkuu umetoa kwa njia hipi? Ya simu?
 
Vipi kenya commercials bank nao wanakata hela ikizubaa ndani ya account?
 
Yes makato ni 0 isipokuwa kuangalia salio, pia wanakupa kahela fulani mwisho wa mwezi kama ni mwekaji wa pesa kila mwezi.
Hata kutoa pesa kwenye matawi yao ni hela ndogo sana ila ukitolea ATM nyingine ni 3000.
BancABC Ni wazuri tatizo ni huo mlolongo wa viambatanisho unapofungua account tu
 
Mimi natumia CRDB kwa muda na sijaona mengi ya yaliyosemwa na wadau hapo juu. Nashauri kwenda Bank iliyo karibu na uongee na Branch Manager au wahudumu.
Ahsante
Mkuu fatilia vizur crdb wamekua wanazingua Sana na hata ukilalamika kwenye hayo matawi yao hakuna jibu lolote la maana zaidi ya kuzungushwa tu.,..inshu ukiona watu wengi wanalamimika lazima Kuna Jambo na Wala sio hujuma.

Sent from my M1 Lite using JamiiForums mobile app
 
Jamani, kulikuwa na mada humu zikilalamikia makato yanayofanywa na CRDB bank, mpaka wengine kutishia kuhama bank hiyo na kutafuta huduma kwenye mabenki mengine. Kwa kweli leo nimepata fresh na kesho itabidi niende kwenye tawi lao nionane na manager nipate ufafanuzi juu ya hili...
Huenda ni mpango wa serikali kupata pesa maana nasikia huko hazina kumekauka sababu ya ufisadi rasmi
 
Hawana compitent management, Huyu MD mpya anakomaa sana kutaka kuonyesha performance nzr kuliko kimei. Ameongeza tozo nyingi sana.

Kiuhalisia, in short term atafanya vzr ili tunaoangalia mbali jamaa ataua hii bank. Hata ukiwa na shida ukimwuliza staff anakuwa either hajui product za benki au ana low morale. Sijui ni kwa sababu kaja na watu wake wa nmb? mimi nilifunga account yangu mwaka jana, nilikuwa nikiwasiliana nao nababaishwa tu wakati apo equity nikiwa na shida wanaeza ata nifata mpk geto hapa chalinze
 
Je hao Equity wana huduma ya mobile banking.
Wanayo.tena bora kuliko.

Wana huduma nzuri kuanzia mitandaoni hadi ofisini.

Ulitaka hela yako ikae kama ilivo bila hata mia kutoka nenda equity..ukiangalia salio hawatozi hata kumi.

Mda wa kufungua acc hawataki hela,wanakutngenezea kisha wanakwambia deposit elfu kwenye acc yako ili kuiactivate.halafu unajaribu hapohapo kutoa kwenye ATM ikikubali atayari.bado kadi tu unafata baadae.

Pia mikopo kwa wafanyakazi wanaopitisha mishahara yao kwenye account..
 
Ila kuna wahudumu wamenihudumia vizuri sana katika tawi fulani hapa Dar mwezi december. Muda wa kuhudumia wateja uliisha hadi wakafunga mlango tukabaki na wahudumu wa bank tu.

Ikafika muda ikabidi wanipe tu hela halafu wakaiandikia maelezo kwenye slip wanayobaki nayo wao coz account ilikuwa na shida, nikitoa hela, kwenye mfumo wao haiongezeki badala yake inaenda tawi lingine (wanalijua wao).

Namaanisha yaani kwa mfano unatoa hela kwa wakala wa mpesa, msg unapata na yeye wakala anapata kumbe kule kwa wakala haiongezeki.

So wakawa wanawaambia wale wahamishie pesa nilizowahi kutoa (nadhani electronic money) kutoka kule kwao kuja huku kwenye branch yao niliyotolea.
 
Duh mkuu pole sana! Mimi nikipokeaga tu pesa kama ni usiku kwenye hizi bank kubwa mbili huwa nalala bila amani, asubuhi kukicha tu naenda kuhamishia kuna bank hawana makato kabisa hata 100.
Bank gani hawana makato
 
Back
Top Bottom