Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,845
- 4,775
Nianze kwa kumpongeza mheshimiwa JPM kwa miradi mikubwa ya maendeleo aliyoitekeleza ndani ya miaka 5 ambayo sehemu yameorodhesha hapa >>> Awamu ya Tano yafanya makubwa kwa kipindi kifupi
Sasa hawa hawa CHADEMA mwanzoni mwa utawala wa JPM walisikika wakisema kwamba JPM anatekeleza ilani ya CHADEMA maana anayoyafanya ni yale yaliyomo kwenye ilani yao. Maneno haya yameendelea kuwatesa mpaka leo.
Sasa hivi wanasema hakuna hata 1 ambalo JPM amelifanya tangu aingie madarakani, yaani hata mtoto mdogo ukimwambia hivi anajua tu kuwa akili yako ina hitilafu. Kwa mujibu wa vikao vya ndani vya CHADEMA ambavyo nikivujisha audio zake hapa nitakuwa nimekizika rasmi nami nawa stahi, ni kwamba hawa mabwana wanatishwa na kasi ya JPM.
Wanadai amevuruga mipango yao, amefanya mambo tofauti na walivyo fikiri, ameenda mbele zaidi ya walivyo tegemea na sasa hawana sera ndio maana agenda yao kubwa msimu huu haitakuwa ufisadi tena, agenda yao ni kuhurumiwa na wananchi kwa risasi za Lissu (huku wamemficha shahidi no 1 ambaye ni dereva), watakuwa wanaomba pia huruma za wananchi kwa kitendo cha mwenyekiti kulewa chakari na kuteleza kwenye ngazi.
Hakika JPM umewachanganya watu. Mpaka JK amekuonea wivu, si mchezo. Safari hii unapata ushindi 99.9% na kura ya Lissu itaharibika maana atakuwa anapiga huku anashangaa mambo makubwa uliyoyafanya na atakuwa anawaza atawaambia nini mabeberu baada ya kushindwa.
Amen.
Sasa hawa hawa CHADEMA mwanzoni mwa utawala wa JPM walisikika wakisema kwamba JPM anatekeleza ilani ya CHADEMA maana anayoyafanya ni yale yaliyomo kwenye ilani yao. Maneno haya yameendelea kuwatesa mpaka leo.
Sasa hivi wanasema hakuna hata 1 ambalo JPM amelifanya tangu aingie madarakani, yaani hata mtoto mdogo ukimwambia hivi anajua tu kuwa akili yako ina hitilafu. Kwa mujibu wa vikao vya ndani vya CHADEMA ambavyo nikivujisha audio zake hapa nitakuwa nimekizika rasmi nami nawa stahi, ni kwamba hawa mabwana wanatishwa na kasi ya JPM.
Wanadai amevuruga mipango yao, amefanya mambo tofauti na walivyo fikiri, ameenda mbele zaidi ya walivyo tegemea na sasa hawana sera ndio maana agenda yao kubwa msimu huu haitakuwa ufisadi tena, agenda yao ni kuhurumiwa na wananchi kwa risasi za Lissu (huku wamemficha shahidi no 1 ambaye ni dereva), watakuwa wanaomba pia huruma za wananchi kwa kitendo cha mwenyekiti kulewa chakari na kuteleza kwenye ngazi.
Hakika JPM umewachanganya watu. Mpaka JK amekuonea wivu, si mchezo. Safari hii unapata ushindi 99.9% na kura ya Lissu itaharibika maana atakuwa anapiga huku anashangaa mambo makubwa uliyoyafanya na atakuwa anawaza atawaambia nini mabeberu baada ya kushindwa.
Amen.