Kbd
JF-Expert Member
- Oct 9, 2009
- 1,260
- 450
Nilipata kujumuika na Victory singers mara mbili walipoitembelea nchi ya Kenya miaka ya 90s na hakika nyimbo zao zilinibariki sana. Cha kunishangaza ni jinsi walivyotoweka na nyimbo zao kupotea kabisa! Bado wapo tena?!
Wapo sana mkuu......na wanaendelea kumtukuza Mungu.