Ikiwa ni kweli mkuu wa mkoa wa Dar ameidharau tume ya Nape sasa atakuwa kafika mbali!

mpk

JF-Expert Member
Sep 26, 2012
3,115
3,862
Magazeti ya leo yanasema Makonda jana hakukutana na tume iliyoundwa na Nape kwa vile alikuwa na kazi nyingi. Kama hii habari ni kweli ni kiburi kilichovuka mpaka.

Ikiwa ni kweli pia inatoa nafasi kwa maboss wake wawili kuchukua uamzi mgumu sana. Kwanza anampa rais nafasi ya pili ya kumfukuza kazi kwa kudharau tume iliyoundwa na serikali. Hatua hiyo itamuondoa rais kwenye lawama kubwa anazokumbana nazo tangu uamzi wake wa kumkingia kifua.

Pili inatoa nafasi kwa Nape mwenyewe kujiuzulu kwa mtu aliye chini yake kukaidi kukutana na tume aliyounda kwa kiburi cha kulindwa na mtu aliye juu ya Nape.
 
Magazeti ya leo yanasema Makonda jana hakukutana na tume iliyoundwa na Nape kwa vile alikuwa na kazi nyingi. Kama hii habari ni kweli ni kiburi kilichovuka mpaka.

Ikiwa ni kweli pia inatoa nafasi kwa maboss wake wawili kuchukua uamzi mgumu sana. Kwanza anampa rais nafasi ya pili ya kumfukuza kazi kwa kudharau tume iliyoundwa na serikali. Hatua hiyo itamuondoa rais kwenye lawama kubwa anazokumbana nazo tangu uamzi wake wa kumkingia kifua.

Pili inatoa nafasi kwa Nape mwenyewe kujiuzulu kwa mtu aliye chini yake kukaidi kukutana na tume aliyounda kwa kiburi cha kulindwa na mtu aliye juu ya Nape.

Wanajuana.Wangetoa report akaenda kujitetea mahakamani
 
Magazeti ya leo yanasema Makonda jana hakukutana na tume iliyoundwa na Nape kwa vile alikuwa na kazi nyingi. Kama hii habari ni kweli ni kiburi kilichovuka mpaka.

Ikiwa ni kweli pia inatoa nafasi kwa maboss wake wawili kuchukua uamzi mgumu sana. Kwanza anampa rais nafasi ya pili ya kumfukuza kazi kwa kudharau tume iliyoundwa na serikali. Hatua hiyo itamuondoa rais kwenye lawama kubwa anazokumbana nazo tangu uamzi wake wa kumkingia kifua.

Pili inatoa nafasi kwa Nape mwenyewe kujiuzulu kwa mtu aliye chini yake kukaidi kukutana na tume aliyounda kwa kiburi cha kulindwa na mtu aliye juu ya Nape.
Ndugu, haya wasema wewe. Nini kisichoeleweka kuwa hapangiwi cha kufanya?
 
Nape alishakosea technics na wenzio kina Mengi..unatoa matamko kwanza ndio unaunda tume..umeona wapi..na tena unajiapiza kuwa utajiuzulu..INA maana una majibu yako tayari kupitia tamko ulilotoa..matamko walitakiwa wayatoe wakati wa kutangaza matokeo ya tume..kisha watu wengine waliopo kwenye tume tayari wana mgogoro na makonda
 
Tatizo kubwa liko ccm kwenyewe. Wao ndiyo wanalea huo ujinga. Mwenyekiti amekuwa malaika wao, na wao wamekuwa ma.. tani sasa hawawezi kumsogelea maana malaika ana nguvu zaidi ya shetani
 
Nape alishakosea technics na wenzio kina Mengi..unatoa matamko kwanza ndio unaunda tume..umeona wapi..na tena unajiapiza kuwa utajiuzulu..INA maana una majibu yako tayari kupitia tamko ulilotoa..matamko walitakiwa wayatoe wakati wa kutangaza matokeo ya tume..kisha watu wengine waliopo kwenye tume tayari wana mgogoro na makonda
KWAHIYO...
 
Ndugu wanajamiiforum..

Ni aibu sana ukifungua jamiiforum kila thread Makonda!
Hii nchi ya ajabu sana Tena sana. Thread za Maendeleo watu hawachangii kwamfano kuna MTU alianzisha thread/Uzi WA HISA ZA VODACOM aisee huwezi amini waliochangia wachache sana! Hapa ndo inaonesha uelewa WA watanzania wengi!

Tuachane na Makonda, Pambana na maisha yako, Jenga uchumi WA nchi.

Raisi kashasema hapangiwi Sasa kwann mnapiga mikelele Humu???

CC. eng. Makonyu
 
Nape alishakosea technics na wenzio kina Mengi..unatoa matamko kwanza ndio unaunda tume..umeona wapi..na tena unajiapiza kuwa utajiuzulu..INA maana una majibu yako tayari kupitia tamko ulilotoa..matamko walitakiwa wayatoe wakati wa kutangaza matokeo ya tume..kisha watu wengine waliopo kwenye tume tayari wana mgogoro na makonda
Kweli aseeee kuna ukweli nepi alishabugi step lakini pia alitakiwa kibusara asome upepo wa boss wake umeegemea wapi...kwa mfumo wetu ulivyo hata iweje huwezi kutofautiana na boss wako kimtazamo ukafanikiwa kwa hali ilivyo nepi ameshafeli
 
Back
Top Bottom