ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,973
- 3,907
Kwanza kabisa lazima niseme kuwa bwawa na ziwa havina tofauti sana ni kwamba Moja ni la asili jingine ni la kutengenezwa na binadamu.
Bwawa la Nyerere au ziwa Nyerere likikamilika ndo litakuwa ziwa la tatu Kwa ukubwa Africa mashariki baada ya Victoria na Tanganyika Kwa mfatano wa Drainage basin Area. Hii ni kwamba uhai wa ziwa unategemea mito mikuu inayopeleka maji katika ziwa husika.
Diktator Jiwe Chuma Joseph Stalin miaka ya 1940-50 alizuia mto Mkuu unaopeleka maji katika ziwa Moja Kwa ajili ya mashamba makubwa yaliyoleta Mapinduzi ya kiuchumi huko usovieti lakini madhara yake ilikuwa ni kupotea na kukauka Kwa ziwa Hilo, hivo hivo uhai wa ziwa Tanganyika na nyasa unategemea mito mikuu inayolowesha(Konde gang) ziwa Hilo. Sasa kwanini nasema hivo, mto Mkuu unaolowesha ziwa nyasa(inflow) ni Mto Ruhuhu na ndo roho ya ziwa hili mto huu unaanzia huko Kwa kina vunja bei Kipengere mountain range Njombe , Sasa Tukiamua kuzuia mto huu ziwa nyasa litakauka baada ya miaka kadhaa
Vivo hivyo ziwa Tanganyika mloweshaji Mkuu(inflow) ni Mto malagarasi , hata hivyo tiki uchepusha mto huu baada ya miaka kadhaa ziwa litakauka.
Sasa Stiglers au bwawa la Nyerere Lina mto unaitwa Rufiji ambao ndo mto mkubwa na wenye maji mengi kuliko mto wowote unaoujua nchi hii, Sasa mto huu na vijito vingine ndo utakuwa unalowesha ziwa Nyerere na kulifanya kuwa ziwa la tatu Kwa ukubwa nchi hii. Mito inayolowesha ziwa Nyerere mingi inaanzia huko Tukuyu, mbeya vijijini na makete Njombe Yaani nyanda za Juu Kusini mangaribi ambako ndo breas basket ya nchi hoi
Bwawa la Nyerere au ziwa Nyerere likikamilika ndo litakuwa ziwa la tatu Kwa ukubwa Africa mashariki baada ya Victoria na Tanganyika Kwa mfatano wa Drainage basin Area. Hii ni kwamba uhai wa ziwa unategemea mito mikuu inayopeleka maji katika ziwa husika.
Diktator Jiwe Chuma Joseph Stalin miaka ya 1940-50 alizuia mto Mkuu unaopeleka maji katika ziwa Moja Kwa ajili ya mashamba makubwa yaliyoleta Mapinduzi ya kiuchumi huko usovieti lakini madhara yake ilikuwa ni kupotea na kukauka Kwa ziwa Hilo, hivo hivo uhai wa ziwa Tanganyika na nyasa unategemea mito mikuu inayolowesha(Konde gang) ziwa Hilo. Sasa kwanini nasema hivo, mto Mkuu unaolowesha ziwa nyasa(inflow) ni Mto Ruhuhu na ndo roho ya ziwa hili mto huu unaanzia huko Kwa kina vunja bei Kipengere mountain range Njombe , Sasa Tukiamua kuzuia mto huu ziwa nyasa litakauka baada ya miaka kadhaa
Vivo hivyo ziwa Tanganyika mloweshaji Mkuu(inflow) ni Mto malagarasi , hata hivyo tiki uchepusha mto huu baada ya miaka kadhaa ziwa litakauka.
Sasa Stiglers au bwawa la Nyerere Lina mto unaitwa Rufiji ambao ndo mto mkubwa na wenye maji mengi kuliko mto wowote unaoujua nchi hii, Sasa mto huu na vijito vingine ndo utakuwa unalowesha ziwa Nyerere na kulifanya kuwa ziwa la tatu Kwa ukubwa nchi hii. Mito inayolowesha ziwa Nyerere mingi inaanzia huko Tukuyu, mbeya vijijini na makete Njombe Yaani nyanda za Juu Kusini mangaribi ambako ndo breas basket ya nchi hoi