Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

TAWA

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2013
Posts
3,674
Reaction score
1,572
- Sijawahi ona kokote siasa inakofanywa mwanachama wa chama kimoja kwa wakati huohuo ni mwanzilishi wa chama kingine cha siasa, sijawahi.

- Sijawahi kuona mtu anajiunga na chama fulani baada ya siku tano anapewa uongozi mkuu wa chama hicho, sijawahi

- Sijawahi kuona popote siasa inapofanywa, mwenyekiti wa chama yupo chini ya mtu fulani. Yahani kikatiba kabisa kuna mtu yupo juu ya mwenyekiti, hii pia sijawahi kuona.

- Sijawahi kuona popote pale chama cha upinzani kukipinga chama cha upinzani na si chama tawala. AGAINST CHADEMA TANZANIA(ACT). Kwa maneno au hata vitendo. Chama kinafanya sherehe kikipata wafuasi wa upinzani kuliko wa chama tawala.

- Sijawahi kuona chama cha upinzani kinafadhiliwa na chama tawala kiuchumi na kimikakati. Tumefanya uzinduzi wa chama chako Zuberi kwa gharama kubwa sana, air time ITV, chakula, ukumbi expensive, na mbwembwe nyingi. Lakini mbona hujawahi kuchangisha pesa toka kwa wanachama wako? Kama kuna mtu anachangia ni nani huyo? Mtamlipaje baadae?

- Sijawahi ona chama cha upinzani popote pale siasa inapofanywa, wafuasi wake ni wale wanachama na wafuasi wa chama tawala. Le mutuz, laki si pesa, musa alani n.k, hii nayo sijawahi ona.

Kwa yote hayo juu Zuberi kwa nini nisikuite kwamba wewe ni msaliti halisi wa demokrasia hapa nchini. Kama kweli wewe siyo msaliti mbona hujawahi kujitokeza na kukataa zile namba za simu walizozitoa chama chako cha zamani kuwa zilitumika katika ufisadi? Mbona sijasikia kuikana ile akaunti ya benki wa yule dada kule ujerumani?

UKINIJIBU HAYO KWA UFASHA WEWE KWELI SI MSALITI.
 
Ulisubiri nini kumuona msaliti?
 
Ulisubiri nini kumuona msaliti?

Hakika kwa muda mwingi nilidhani chadema wanamsingizia kwa sababu ya maslahi ya kimadaraka ndani ya chama
 
Hakika kwa muda mwingi nilidhani chadema wanamsingizia kwa sababu ya maslahi ya kimadaraka ndani ya chama

Teh bavicha bwana mnachekesha sana'. Mnajitekenya kisha mnacheka wenyewe.
Vp ulitaka kwanza akalime kama mwaka mmoja hv kabla hajaenda act?
 
Aisee jamani tumeshachoka sasa, zito mmefukuza kaondoka bado maneno hayaishi?

Hivi mfano umempa talaka mke wako alafu akaondoka ww uliyetoa talaka unalalamika tuu, mara oohh ulikuwa unanisaliti, maara oohh mwananmke gani wewe? sasa talaka umeshatoa na mtalaka kaondoka wewe bado unalalamika nini?

Nyie Chadema acheni upuuzi tumeshawachoka na kulialia kwenu haaa
 
Aisee jamani tumeshachoka sasa, zito mmefukuza kaondoka bado maneno hayaishi?

Hivi mfano umempa talaka mke wako alafu akaondoka ww uliyetoa talaka unalalamika tuu, mara oohh ulikuwa unanisaliti, maara oohh mwananmke gani wewe? sasa talaka umeshatoa na mtalaka kaondoka wewe bado unalalamika nini?

Nyie Chadema acheni upuuzi tumeshawachoka na kulialia kwenu haaa

jitahidi kusoma na kuelewa kwanza kabla hujapost utumbo wako hapa.
 
Nilitamani nijibiwe hayo madai yangu unless Zitto ni msaliti mkuu wa demokraamsia nchini

Hakuna mtu atakyekujibu uhuo uharo wako, msaliti padre slaa aliyelelewa na ccm sa ivi na yeye anautaka URAHISI, au hujui hilo
 
Nia yao walitaka aache siasa kabisa,Zitto aliwateka akili zao finyu ili awapoteze kwakusema hataendelea na siasa nao wakawa wanashadadia afukuzwe! mara hatumtaki.Tatizo akili kubwa haiwezi kutawaliwa na akili ndogo,chadema ukitaka uwe juu lazima uwe na cfa ya ukilaza kama dj.
Teh bavicha bwana mnachekesha sana'. Mnajitekenya kisha mnacheka wenyewe.
Vp ulitaka kwanza akalime kama mwaka mmoja hv kabla hajaenda act?
 
Hakuna mtu atakyekujibu uhuo uharo wako, msaliti padre slaa aliyelelewa na ccm sa ivi na yeye anautaka URAHISI, au hujui hilo

Sijui naomba nieleweshe kama mimi nilivyokuelewesha usaliti wa Zito
 
Sijawahi kuona mtu anaongea pumba kama wewe sijawahi.

Sijawahi kuona watu wanapata taabu hawalali wanatafuta umbea juu ya maisha ya mtu ambayo hayakuhusu hata kidogo sijawahii..

Sijawahi kuona mtu aliyetoka chama kimoja kwenda kingine akaendelea kusakamwa kama zzk bila sababu za msingi kwani hamuathiri mtu na itikadi zake na hawalazishi kumfuata kwa itikadi.

Hata kama zitto ni msaliti kwa chadema haiwahusu wala kuwaathiri kwani hayupo chadema sasa.

Kila siku zitto zitto zitto hamna cha kufanya wangapi wametoka vyama vyao na kujiunga na vyama vingine hawajadiliwi ...

Stop non sense bwana Amekuathirije yeye kuwa msaliti na je anahusikaje na maisha yako baada ya kusaliti chadema
 
Zinachukuliwa kama njugu karibu ndugu usikilize ya wakosaji,Chadema hawana akili kabisa ndomana huwa nasema ccm bado itaendelea kitawala nchi hii saaanaaa,mfano ni huu et cdm wanamuona Zitto ni adui kuliko ccm!Wanatumia muda mwingi kumchafua Zitto kuliko kujiimarisha dhid ya ccm!Kama sio Ukawa mida hii cdm hata kwenye vyombo vya habari tusingeiona.Karibu Act wazalendo.
asante kwakutufungua macho. act wasaliti. sichukui kadi.
 
jitahidi kusoma na kuelewa kwanza kabla hujapost utumbo wako hapa.

una upungufu wa akili, nakukemea kwa Jina La Yesu Kristo Ufunguke Sasa. Baada Ya Kujadili Hizo,kama Sio Kweli Si Na Wewe Upinge Kwa Hoja? Au Unalalia Telemka Tukaze?
 
huyu mleta mada kaleta hoja humu kwamba zito kayafanya hayo, kama hakuyafanya jibuni kwa hoja msilete mwa mwa mwa
 
Ni mwendawazimu pekee anayeweza kukataa ukweli niloandika hapo juu. Sikuwa na nia ya kumchafua yeyote bali labda kuona tunapata ukweli ulionyuma ya pazia. Nachukia baadhi yenu mnaofanya dhiaka kwa hili. Je zito ni msaliti kwa viwango hivyo nilivyoandika?
 
Kwa niliyoyanona tangu Zitto kuhama chama. kuhojiwa na EATV akakiri kuanzisha ACT na pia wanavyovumisha habari pale wanapovuna wanachama kutoka CDM nina hakika pasi na shaka kuwa Zitto hafai kuwa kiongozi anaweza kuuza nchi kwa maslahi yake binafsi kama mafisi wa CCM wanavyofanya...sasa hivi ACT wanachoshangilia ni kuvuna wanachama from CDM which is killing opposition in our country... Itachukua muda hadi watu wagundue hili hasa pale uchaguzi wa mwaka huu utakapoisha and only by then it will be too late....
 
Back
Top Bottom