Kwanini Zanzibar hakuna mgao wa umeme

Kwanini Zanzibar hakuna mgao wa umeme

jaap

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2018
Posts
5,344
Reaction score
7,103
Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.
 
Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.
Umeme wenyewe unatokea Tanganyika 🙄
 
Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.
Na bado ni walalamishi kinyama yaani
 
Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.
Sio Zanzibar tuu hata Mikoa wanayotumia umeme wa kutoka Nchi Jirani Hakuna mgao pia.
 
Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.
Zanzibar ni Jamhuri nyingine.
 
Mlaumu Nyerere mnayemuabudu kwa huu muungano feki
Wazanzibari hawa shida kama za kwetu Tanganyika, Zanzibar kila nyumba anayoishi Mzanzibari ina umeme na ukiona nyumba aina umeme basi Mtanganyika kapagishwa au kupewa akae bure kama mlinzi wa nyumba.
 
Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.
Hata Dodoma hakuna mgao wa umeme. Dar pia ninapokaa hamna . Kagera hamna mgao sijui shida yako nini?
 
Ilo ni kweli ten siku izi ndo unakatika katika hovyo ila hauchukui time kubwa unarudi zaman ilikua unaweza kukaa ata 2 months umeme haujawahi kukatika ata kwa sekunde 5 tu na baadhi ya maeneo maji ni masaa 24.
 
Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.
Kwa gharama za Watanganyika!
 
Nipo Zanzibar miezi miwili sasa" sijaona mgao wa umeme yani umeme ukikatika hazipiti dakika kumi unarudi yani wakazi wa Zanzibar wana raha sana, hawajui kama ndugu zao wa Tanganyika wanateseka na mgao wa maji na umeme, yani sirudi tena Tanganyika. Mwinyi ana upiga mwingi.
Ni Muungano ndugu, ukihoji zaidi utaambiwa unataka kuuua ambapo ni mwiko.
 
Ilo ni kweli ten siku izi ndo unakatika katika hovyo ila hauchukui time kubwa unarudi zaman ilikua unaweza kukaa ata 2 months umeme haujawahi kukatika ata kwa sekunde 5 tu na baadhi ya maeneo maji ni masaa 24.
Ni kweli Zanzibar unaweza ukaa miezi umeme haujakatika
 
Back
Top Bottom