I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,730
- 10,033
Miaka hiyo kabla ya ujio wa hawa uzao wa ma-.com. ilikuwa ikitokea siku kuku akachinjwa baba anapewa nyama za paja(ni lazima), filigisi,na sehemu nyingine muhimu. Huku watoto tuliambulia utumbo, mwisho wa bawa la kuku, na makanyagio bila kujali tulijitoa namna gani kufanya riadha na huyo kuku.
Kwani paja lilikuwa na kitu gani special kipindi hicho?
Kwani paja lilikuwa na kitu gani special kipindi hicho?