Habari wadau
Naombeni majibu ya hili swali.
Kwa nini Aziz kii alietingisha Africa nzima.. na ameisaidia yanga sana na sana kwenye game kubwa na ngumu amekubaliwa kuuzwa kwa dola laki nane kwenda wydad.
Ila mchezaji mwingine wa yanga ambaye hana msaada kama aziz kii.. anakataliwa kuuzwa kwa dola milioni moja kwenda esperence?
Kama swala la bei ni dogo, kwa nini yanga imemuuza aziz kii kwa bei chini ya hiyo dola milioni moja?
Gap la dola laki 2 ni kubwa sana. Why yanga imelikubali kwa aziz kii kuuzwa bei nafuu hivyo?
Naombeni majibu ya hili swali.
Kwa nini Aziz kii alietingisha Africa nzima.. na ameisaidia yanga sana na sana kwenye game kubwa na ngumu amekubaliwa kuuzwa kwa dola laki nane kwenda wydad.
Ila mchezaji mwingine wa yanga ambaye hana msaada kama aziz kii.. anakataliwa kuuzwa kwa dola milioni moja kwenda esperence?
Kama swala la bei ni dogo, kwa nini yanga imemuuza aziz kii kwa bei chini ya hiyo dola milioni moja?
Gap la dola laki 2 ni kubwa sana. Why yanga imelikubali kwa aziz kii kuuzwa bei nafuu hivyo?