Kwanini wengi wanaonyesha wamekata tamaa na mahusiano?

Daudi1

JF-Expert Member
Dec 14, 2013
8,799
8,706
Habari za weekend wanakijiji, niende moja kwa moja kwenye mada.

Nimejiuliza nimekosa majibu kadili siku zinavyozidi kwenda watu wengi wanakata tamaa kwenye mahusiano mwisho wa siku wanaona bora kukaa wenyewe tatizo ni nini? Kwanini watu wanashindwa kudumu kwenye mahusiano? Siku hizi imekuwa kawaida mtu anaanzisha mahusiano Leo baada ya miezi miwili mahusiano yanavunjika kwa mwaka mtu anafunga mahesabu ya wanawake hata wanne au wanaume wanne.

Kuna dada mmoja anamiaka 38 yeye hataki hata kumsikia mwanaume, nikamuuliza haja zake anatimizaje anajibu "eti haja natimiza popote siwezi kosa wa kutimiza haja". Ni kwamba vijana wengi wa siku hizi hatuna elimu ya mahusiano au ni nini? Kwenye ndoa ndo usiseme mtu ana mke au mume lakini anamichepuko mitatu mpaka maana ya ndoa yenyewe inapotea.

Najua changamoto za mahusiano ni nyingi na hazijaanza Leo zipo toka kitambo, kwamba vijana wa kizazi cha sasa wa kike kwa wakiume tumeshindwa kukabiliana na changamoto?

Najua mahusiano hujenga familia, na familia hujenga jamii na taifa kwa ujumla tunajenga taifa la aina gani baadaye na nini kifanyike.

Karibunii kwa hoja.
 
Kama tulivyokata tamaa na Ccm kila mwaka tunadanganywa tu inafikia kipindi unakubali kudanganywa milele na kuamua kukata tamaa ya matumaini mapya kusubiur kufa tu
Hapa ninongelea hatima ya familia yako mwenyew forget about CCM, tunaona watoto wanao lelewa na upande mmoja wanaongezeka wanakuwa na misimamo ya upande huo nini kifanyike
 
Mapenzi yamekuwa kizungumkuti sababu unaweza ukawa mwaminifu na mvumilivu lakini mwenzio anapita njia (hatui wa kweli kifupi)
kingine tamaa zinawaponza wengi haswa wadada kupenda mambo ya kuiga na bab kubwa mtu kazi mshahara laki3 anataka atumie iphone 7 apange nyumba nzima asuke human hair na makorombwezo mengine
Pia wanaume baadhi wanakuwa hawaonyeshi kujali kuhusu kujenga mahusiano imara ( hapa haswa mkute mshakuwa na uhusiano wa mwaka na zaidi ) mnachukulia poa kila kitu yaani hamjali kabisaaa
 
Hapa ninongelea hatima ya familia yako mwenyew forget about CCM, tunaona watoto wanao lelewa na upande mmoja wanaongezeka wanakuwa na misimamo ya upande huo nini kifanyike
Kumbe hujanielewa Hapo ni hivi kabla hawajaowana kila MTU anakuwa na matarajio yake kwa mwenzie but baada ya kukaa pamoja unakuta mwenzio sio ulivyomzania au anabalika hapa nao gelea pande zote mbili so baada ya kuvumiliana kwa muda , Kumbuka hapo ni fuul stress unakuta siku inatimia na kila mmoja amachoka na kuamuwa kuachana unakuta wote wafanyakazi so hakuna wa kunyenyekea kwa mwenzake NB cha kufanya ni Kuvumilia na huo uvumilivi uje tu kwa kuwapenda watoto wetu kama kweli utwapenda hutakubali waishi mbali na we
 
Kumbe hujanielewa Hapo ni hivi kabla hawajaowana kila MTU anakuwa na matarajio yake kwa mwenzie but baada ya kukaa pamoja unakuta mwenzio sio ulivyomzania au anabalika hapa nao gelea pande zote mbili so baada ya kuvumiliana kwa muda , Kumbuka hapo ni fuul stress unakuta siku inatimia na kila mmoja amachoka na kuamuwa kuachana unakuta wote wafanyakazi so hakuna wa kunyenyekea kwa mwenzake NB cha kufanya ni Kuvumilia na huo uvumilivi uje tu kwa kuwapenda watoto wetu kama kweli utwapenda hutakubali waishi mbali na we
Je wakati wa kuanza hayo mahusiano kuna msingi thabiti ambao unakuwa umejengwa? Maana msingi ndo uimara wa nyumba
 
Kumbe hujanielewa Hapo ni hivi kabla hawajaowana kila MTU anakuwa na matarajio yake kwa mwenzie but baada ya kukaa pamoja unakuta mwenzio sio ulivyomzania au anabalika hapa nao gelea pande zote mbili so baada ya kuvumiliana kwa muda , Kumbuka hapo ni fuul stress unakuta siku inatimia na kila mmoja amachoka na kuamuwa kuachana unakuta wote wafanyakazi so hakuna wa kunyenyekea kwa mwenzake NB cha kufanya ni Kuvumilia na huo uvumilivi uje tu kwa kuwapenda watoto wetu kama kweli utwapenda hutakubali waishi mbali na we
Watoto wanajifunza kutoka kwa wazazi kama wazazi watatengana unafikir mtoto atakuwa na hali ya kujali hata katika mahusiano yake?
 
We make wrong choices with alot of expectations...hatumtangulizi yeye aliye juu....

Tabia ya kujifananisha na wengine
Kutaka kuwa kama fulani..ilhali mpenz wako hana uwezo
huo

Hatuna uvumilivu wa kuhandle weakness za wenzetu.....

Wengi sio problem solvers...insteady ni walalamikaji

Tamaaa.........kumbuka cheating is choice.
 
Waswahili wanasema Huwezi kuchimba kisima upo nje mkuu lazima uingie tena Chini kabisa,so ukishaingia ndo unakutana na Ugumu wenyewe
Hahahahaha hata uhakika wa kujua yaliyomo mpaka uingie?
 
We make wrong choices with alot of expectations...hatumtangulizi yeye aliye juu....

Tabia ya kujifananisha na wengine
Kutaka kuwa kama fulani..ilhali mpenz wako hana uwezo
huo

Hatuna uvumilivu wa kuhandle weakness za wenzetu.....

Wengi sio problem solvers...insteady ni walalamikaji

Tamaaa.........kumbuka cheating is choice.
Kwakwelii umeongea mkuu wengi ni walalamikaji tu si watatuaji
 
Habari za weekend wanakijiji, niende moja kwa moja kwenye maada
Nimejiuliza nimekosa majibu kadili siku zinavyozidi kwenda watu wengi wanakata tamaa kwenye mahusiano mwisho wa siku wanaona bora kukaa wenyewe tatizo ni nini? Kwanini watu wanashindwa kudumu kwenye mahusiano? Siku hizi umekuwa kawaida mtu anaanzisha mahusiano Leo baada ya miez miwili mahusiano yanavunjika kwa mwaka mtu anafunga mahesabu ya wanawake hata wanne au wanaume wanne, kuna Dada mmoja anamiaka 38 yeye hataki hata kumsikia mwanaume, nikamuuliza haja zake anatimizaje anajibu "eti haja natimiza popote siwezi kosa wa kutimiza haja"
Ni kwamba vijana wengi wa siku hizi hatuna elimu ya mahusiano au ni nini? Kwenye ndoa ndo usiseme mtu ana mke au mume lakin anamichepuko mitatu mpaka maana ya ndoa yenyewe.
Najua changamoto za mahusiano ni nyingi na hazijaanza Leo zipo toka kitambo, kwamba vijana wa kizazi cha sasa wa kike kwa wakiume tumeshindwa kukabiliana na changamoto? Najua mahusiano hujenga familia, na familia hujenga jamii na taifa kwa ujumla tunajenga taifa la aina gani baadaye na nini kifanyike, karibunii kwa hoja
Usmart, kutokekezea, kulipuka, kushaini, starehe na maisha ya kifahali yamekuwa ndo target kubwa ya kizazi hiki.

Ili hayo yote juu yananoge, vijana wanahitaji watoke na watu wapya kila siku. Hivyo hawako serious na maisha ispokuwa wanapenda show off daily, matokeo yake wanalia kila kukicha.

Unajua kwenye mapenzi unavyoingia ndivyo unavyotoka, yaani ukitupia jiwe usitegemee kutoa shilingi.
 
Back
Top Bottom