majebsmafuru
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 453
- 628
Haya malalamika ya websites za serikalini naona sasa yamezidi, kwenye Idara, Taasisi, Shirika, Bunge na Wizara malalamiko ni yaleyale, na mimi kweli nilijaribu kuingia katika zote, kuanzia TBC, Wizara, Taasisi na n.k. Jibu nililopata ni KWELI, hata wenye blog kama kina Michuzis, Chahali na Mjengwa wamewapiga bao kishenzi wale wasomi waliotengeneza hizo websites za serikali, tena yawezekana kwa gharama kiduchu kabisa..
Ilionisikitisha hasa ni ya TBC, yaani ni ya kitoto kabisa, kama vile imeandikwa na vijana wanaoanza kujifunza programming!
Hivi sisi waTZ tuna tatizo gani?! Kila sample za websites ziko online, kweli tunashindwa kutengeneza nzuri tu kama za www.bbc.co.uk kweli?
Ebu tuache uvivu na kujigamba twayajuwa mambo tuonyeshe umahiri wetu kuliko uozo huu...
Ilionisikitisha hasa ni ya TBC, yaani ni ya kitoto kabisa, kama vile imeandikwa na vijana wanaoanza kujifunza programming!
Hivi sisi waTZ tuna tatizo gani?! Kila sample za websites ziko online, kweli tunashindwa kutengeneza nzuri tu kama za www.bbc.co.uk kweli?
Ebu tuache uvivu na kujigamba twayajuwa mambo tuonyeshe umahiri wetu kuliko uozo huu...