Kwanini hapa Tanzania watu wanaheshimu sana cheti cha form four yaani ikiwa hata kama una GPA ya tano ila form four ukiwa na four unachukuliwa poa.?
Hii inasababishwa na nini mfano yule Mkuu wa Nchi ya Matiyaski Ana masters Ila watu wanambeza Sana wanasema Elimu yake ni fake kisa tu alipata Four ya mwishoni .