Kwanini watu wakifa huzikwa ardhini?

Kwanini watu wakifa huzikwa ardhini?

muzi

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2016
Posts
1,048
Reaction score
1,479
Watu wakifa au kupoteza uhai kuna namna nyingi sana za kuhifadhi kulingana na mila, tamaduni, dini, siasa na hulka za watu
  1. Wengine wanachoma maiti mpaka kuwa majivu
  2. Wengine wanakausha na kuhifadhi maiti kwenye chumba maalum
  3. Wengi wanazika ardhini
  4. Wengine wanazika mapangoni kulingana na historia ya karne ya tano
  5. Wengine huhifadhi chini ya pyramid kulingna ana historia za Egypt
Sasa leo tujiulize, kwanini jamii nyingi huzika kwenye makaburi ardhini?
 
Nature ya mwanadam ameubwa kwa kutumia udongo na atarud mavumbini
 
Nature ya mwanadam ameubwa kwa kutumia udongo na atarud mavumbini
Kwa hiyo maandiko yalisosema "umeumwa na mavumbi na mwisho utarudi mavumbini" yana ukweli sana
 
Kwa nini mtu akishakufa ANAPOTEZA DHAMANI? Yanni anakuwa adui wa kila mtu, yaani hata mke au mume au mtoto anakukimbia, WHY?
 
Imani tu, mbona kuna makabila maiti zinatundikwa mtini..
 
Ni imani tu, wengine maiti wanaila nyama kama chips yai tu.
 
Wengine huhama mahali alipofia Mareham na kuwaachia fisi wamtafune
 
Kwa nini mtu akishakufa ANAPOTEZA DHAMANI? Yanni anakuwa adui wa kila mtu, yaani hata mke au mume au mtoto anakukimbia, WHY?

Kiswahili mnajifunzia wapi?

Dhamani ndio nini au ulimaanisha Thamani? Hujui tofauti ya Dha na Tha??
 
Kwakweli sio wazo zuri aridhin panatisha [emoji2303][emoji2303][emoji2303]
 
sasa hao wanaochoma maiti wao hawakuumbwa kwa udongo ili wakifa wazikwe ardhini? Hivi kuna tofauti gani kati ya grave,tomb na cementry wakati yote yanamaanisha kaburi? Halafu kuna chombo cha kubebea maiti,kipi hasa ni jeneza na sanduku?
 
Wanazikwa ardhini kwa sababu haiwezekani kuzikwa hewani.
Watu wakifa au kupoteza uhai kuna namna nyingi sana za kuhifadhi kulingana na mila, tamaduni, dini, siasa na hulka za watu
  1. Wengine wanachoma maiti mpaka kuwa majivu
  2. Wengine wanakausha na kuhifadhi maiti kwenye chumba maalum
  3. Wengi wanazika ardhini
  4. Wengine wanazika mapangoni kulingana na historia ya karne ya tano
  5. Wengine huhifadhi chini ya pyramid kulingna ana historia za Egypt
Sasa leo tujiulize, kwanini jamii nyingi huzika kwenye makaburi ardhini?
 
Watu wakifa au kupoteza uhai kuna namna nyingi sana za kuhifadhi kulingana na mila, tamaduni, dini, siasa na hulka za watu
  1. Wengine wanachoma maiti mpaka kuwa majivu
  2. Wengine wanakausha na kuhifadhi maiti kwenye chumba maalum
  3. Wengi wanazika ardhini
  4. Wengine wanazika mapangoni kulingana na historia ya karne ya tano
  5. Wengine huhifadhi chini ya pyramid kulingna ana historia za Egypt
Sasa leo tujiulize, kwanini jamii nyingi huzika kwenye makaburi ardhini?
Mshana Jr Tunaomba mtazamo wako mkuu
 
Maiti zilianza kuchomwa huko pande za india kwakuwa kulikuwa na desturi za kumla nyama maiti pindi akifariki. Hudi alikuwa akiendeleza desturi hii ambayo aliirithi kwa baba yake aitwaye Rajaki, desturi hii ilishamiri huko India baada ya wanadamu kufanya urafiki na viumbe wengine ambao ni majini.

Baada ya miaka kupita kukaibuka mtawala mwingine mkubwa ambaye alikuwa yupo kinyume na desturi hii ambaye ni Ragahindi(Ragandi) akaanza kuwafukuza ukoo wa Hudi kwakuwa hyo desturi ilikuwa ni kinyume na utu, Hudi alikimbia na baadhi ya wafuasi na kuenda ghuba ya uajemi. Historia nzima ya Adamu na Hawa na chanzo cha dini nyingi ni historia ya huyu jamaa Hudi baada ya kukimbilia huko Ghuba ya uajemi, kwamaana huko ndio alipata watoto kadhaa akiwemo Adonai, Ariel, Jehova, Mason, Jannah na wengine wengi, ndio maana dini nyingi zina asili ya huko middle east na Asia yaani Israel, Arabuni nk.

kwahyo maiti zilianza kuchomwa moto kwa kukataa hilo sharti la RABIU la watu kuwala watu wengine pindi wakifa. RABIU ni kiongozi wa kijini ambaye anaishi eneo la AKHIR katika nyumba ya kifalme ya ARSHI(Arshi ni ikulu ambayo anakaa kiongozi yeyote mkubwa wa kijini ambaye amekuwa kateuliwa kwa wakati huo).

kuhusu kuhifadhi kwenye mapyramidi na njia nyinginezo huwa ni heshima tu kwa marehemu ikiwa huyo marehemu alikuwa ni mtu muhimu sana kwao. Japo ni sawa wao kufanya hivyo ila si sahihi.

Ila baada ya kuonekana hata ukihifadhi maiti kwa kuwekea madawa bado maiti anakuwa hasaidii chochote hasahasa anazidisha huzuni tu, harufu kali, nk. Wengi tukaiga ile ya kuzika kwa kufukia ardhini maana haina gharama sana na pia ukishazika unasahau kwa haraka nakadhalika.
 
Kwa nini mtu akishakufa ANAPOTEZA DHAMANI? Yanni anakuwa adui wa kila mtu, yaani hata mke au mume au mtoto anakukimbia, WHY?
Mtu ukifa yaani ukishatoka kwenye mwili wako, mwili unakuwa hauna kazi tena. sio wanakukimbia ila wanakupa heshima stahiki kwa wakati huo yaani ni sawa na umenunua biskuti ukimaliza kuila ganda unatupia kwenye jalala la taka.
 
Back
Top Bottom