mimi sijawahi kufumba macho!
Katika tafakari legelege, nimejiuliza kwanini....nimejikuta na haya majibu
Je wana-kijiwe pia mwafunga macho mkicheza mechi za vinywa pia?? Sababu nini? au ni reflex tu....
Sababu za kufunga macho wakati wa busu...
1. Hutaki kujiona ulivyo wakati wa kupiga busu hasa la kifrench, vivyo hivyo mwenzi wako;
2. Ubongo hauwezi ku-zungusha ulimi wakati huo huo kupepesa macho....yaani kama vile kusema...Mpaka, Mkata, Msata haraka haraka..your brain cant just do that.
3. Ni vigumu (ufanisi hafifu)kubusu ukiwa macho wazi na pia ni ajabu kutoa miguno ya busu macho wazi;
4. Mfumo wa macho hautaki kuangalia kitu kwa ukaribu kiasi hicho;
5. Kwa wanawake, inakuharibia utaratibu mzima wa kuvuta taswira una-mbusu C.Ronaldo wakati unaemuona mbele yako ni Wasira;
6. Kwa Wanaume, kama unabusu baada ya kupiga raundi kadhaa za main course angalau inakuwa rahisi kufikiria mambo mengine kama mpira n.k. ukiwa umefumba macho;
7. Ukiwa macho wazi pua ya mpenzi wako inaonekana kubwa kama Pua ya Lori-basi.
For you ndio ila lazima uwe na ubinadamu wa kumconsider mwenzio, manake wanaume akiweka maujanja lazima akague yanaleta matokeo gani, sasa akinifuma mijicho kodo atakosa amani bureee! Ndo nafumba nisibambwe hivooo! lol!