Daktari wa Manchester
JF-Expert Member
- Jun 1, 2020
- 350
- 401
Habari za mda huu.
natumaini wote ni wazima wa afya Kama sio Mungu akusaidie upate afya njema
Watu wengi huzoea kwamba tunalala huku tumefumba macho,ila asilimia 13-14% ya watu dunian hulala bila kufumba macho ,inawezekana hatupo aware kwamba tunalala huku tumefumba macho au la kwa sababu hatuwez kujiona wenyewe tukiwa tumelala. Muda mwingine ukiona unamka asubuhi na kuona macho yanauma ,macho kuwa makavu,macho kuwasha huenda ikawa unatatizo Hilo.
Fahamu sababu,dalili ,madhara, na jinsi ya kutibu tatizo hili
sababu zinazosababisha mtu kulala huku macho yakiwa waz
Tatizo la watu kulala macho waz wenzetu wanaliita NOCTURAL LAGOPTHALMOS
1.jeraha .jeraha katika uso,jicho au nerves ambazo zinacontrol uwezo wa kope kumove wakati unavyoangalia hususani mwanga mkali unavyomulika au ule muda mwanga unapokua hafifu Mana lens ya jicho diameter yake huongezeka ili kuweza kupitisha mwanga kwa urahisi pia jeraha hili Mda mwingine husababishwa na matumizi ya vipodozi(cosmetics) kutokana tatizo hili hupelekea uwezo wa kope kushinda kujifunga
2.Surgery karibia na mishipa ya fahamu
3. Uvimbe
uvimbe katika jicho pia unaweza ukasababisha jicho kutoweza kufunction vizuri wakat ukiwa umelala au la Mana mishipa inayo control nerve itashindwa kuratibu vizur movement za kope na kupelekea tatizo Hilo.
4. Mwisho tatizo Hilo huweza husababishwa na stroke
Kwa Nini inabidi ulale huku umefumba macho
Kulala huku macho yakiwa closed kunahakikisha usalama wa macho na parts nyingine ambazo ziko ndani ya macho Kama cornea pia hulainisha macho ukiwa umelala na ndio maana watu wengi wakilala macho wazi huamka macho yakiwa makavu
Jinsi ya kutibu hili tatizo
Ili kutibu hili tatizo ni kuenda katika kituo Cha afya kilicho karibu nawe ili uweze kupata solution ya hili tatizo
..SOURCE.Healthline.com
natumaini wote ni wazima wa afya Kama sio Mungu akusaidie upate afya njema
Watu wengi huzoea kwamba tunalala huku tumefumba macho,ila asilimia 13-14% ya watu dunian hulala bila kufumba macho ,inawezekana hatupo aware kwamba tunalala huku tumefumba macho au la kwa sababu hatuwez kujiona wenyewe tukiwa tumelala. Muda mwingine ukiona unamka asubuhi na kuona macho yanauma ,macho kuwa makavu,macho kuwasha huenda ikawa unatatizo Hilo.
Fahamu sababu,dalili ,madhara, na jinsi ya kutibu tatizo hili
sababu zinazosababisha mtu kulala huku macho yakiwa waz
Tatizo la watu kulala macho waz wenzetu wanaliita NOCTURAL LAGOPTHALMOS
1.jeraha .jeraha katika uso,jicho au nerves ambazo zinacontrol uwezo wa kope kumove wakati unavyoangalia hususani mwanga mkali unavyomulika au ule muda mwanga unapokua hafifu Mana lens ya jicho diameter yake huongezeka ili kuweza kupitisha mwanga kwa urahisi pia jeraha hili Mda mwingine husababishwa na matumizi ya vipodozi(cosmetics) kutokana tatizo hili hupelekea uwezo wa kope kushinda kujifunga
2.Surgery karibia na mishipa ya fahamu
3. Uvimbe
uvimbe katika jicho pia unaweza ukasababisha jicho kutoweza kufunction vizuri wakat ukiwa umelala au la Mana mishipa inayo control nerve itashindwa kuratibu vizur movement za kope na kupelekea tatizo Hilo.
4. Mwisho tatizo Hilo huweza husababishwa na stroke
Kwa Nini inabidi ulale huku umefumba macho
Kulala huku macho yakiwa closed kunahakikisha usalama wa macho na parts nyingine ambazo ziko ndani ya macho Kama cornea pia hulainisha macho ukiwa umelala na ndio maana watu wengi wakilala macho wazi huamka macho yakiwa makavu
Jinsi ya kutibu hili tatizo
Ili kutibu hili tatizo ni kuenda katika kituo Cha afya kilicho karibu nawe ili uweze kupata solution ya hili tatizo
..SOURCE.Healthline.com