Kwanini watanzania wengi waongo?

Kwanini watanzania wengi waongo?

kijana mkimya

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
277
Reaction score
121
Mtanzania ukikutana nae lazima aongope hata sehemu isiyohitaji uongo wanaongopa.

Kwanini watanzania waongo sana?
 
Halafu nikishasoma hivyo pumzi saa hiyo hiyo inakatika........yaani mfumo wa upumuaje unapata hitilafu..........

Mtoa mada umeona?? usije kutuulia Preta wetu sie
 
Last edited by a moderator:
Wewe kijana mkimya nani kakutuma uongee leo? tena ni post ya kwanza kabisa tangu uzaliwe. Naona umeamua kuacha ukimya!
 
Last edited by a moderator:
Mtanzania ukikutana nae lazima aongope hata sehemu isiyohitaji uongo wanaongopa.

Kwanini watanzania waongo sana?

Sasa Kama Hata Tu Mimba Zetu Nyingi Zinapatikana Baada Ya Mama Zetu Wengi KUPIGWA CHANGA LA MACHO a.k.a Kudanganywa au Kuongopewa Na Baba Zetu Wewe Unadhani Sisi Tunaozaliwa Tutakuwa Ktk Hali Gani? Watanzania Na Uwongo Ni Kama Marehemu Na Mortuary.
 
Shauri ya CCM ndugu! CCM waongo waongo wameambukiza! Mwisho Oct 25!
 
Sasa Kama Hata Tu Mimba Zetu Nyingi Zinapatikana Baada Ya Mama Zetu Wengi KUPIGWA CHANGA LA MACHO a.k.a Kudanganywa au Kuongopewa Na Baba Zetu Wewe Unadhani Sisi Tunaozaliwa Tutakuwa Ktk Hali Gani? Watanzania Na Uwongo Ni Kama Marehemu Na Mortuary.

so uongo wa watanzania unasababishwa na urithi? inawezekana ni kweli kabisa
 
Kwa sababu ya viongozi wao kujikita kwenye AHADI HEWA ilikupatia kura, hata wanaowaongoza lazima waishi kuongopea. Mtoto anafanana na mzazi
 
Hulka tu...nadhani na hii kuitwa 'wabongo' inatuharibu zaidi!
 
Back
Top Bottom