Kwanini watanzania wengi wako instagram na sio twitter?

Je, tunaongea sana?
Je, tunapenda mapicha?
Je, tunapenda sana udaku na umbea?
Je, tuna akili ndogo na hatuwezi toa mawazo yetu katika character 140?
Hii haihitaji kuwa na tume, watz wengi hasa vijana hupenda umbea, leo kiba na dai, leo dai na zari nk nk nk, na sehemu y kupata huo utumbo ni Twitter. Mara nyng Twitter ni sehemu ya current news na politics na international agendas, of which wengi hawapend kufuatilia
 
Yaani maisha yalivyo mafupi halafu bado tupangiane tena jinsi ya kuishi. Kwani walio na account Twita wanaongezewa miaka ya kuishi?
 
mbona hata twitter akina chris brown,wiz khalifa,sijui tyga,amber wanajaza upupu tu
 
twitter ni ngumu kutumia kwa mtu mgeni lazima apate course kutoka kwa mzoefu bila hivyo ataishia kujiunga twitter na hutakuja ona ka tweet au kufanya mambo mengine
 
Wengi hawauelewi huu mtandao kwa sababu,

Watu wa kuuza sura na watafuta attention.

Halafu pili watanzania tumezoea 'ubuyu' wenye maneno zaidi ya 1000 lakini kule ni maneno yasiyozidi 140.
 
Tweeter ni sehemu ya kutukania, instagram umbea.. Jibu umepata

Sent From Kisana Kiki Iphone
 
Tweter ni mwendo wa Fact na ku tweer na kula corner.. Walio jiunga Tweter ni watu wanaojielewa na wasomi HGT


Wanawake walio jiunga Istagram akili zao ni kama za Wema Setepu

Na wanaume wenye a/c Instagram akili zao ni kama za Jams Delisious.... Watu disaini hii huwezi kuwakuta tweter...
Mpumbavu sana Huyu kwa maana hio Michelle Obama, Barack Obama, Donald Trump, Vladmir Putin, Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na wengine wengi wana akili kama za Delicious?? wewe una umaskini wa Fikra na wa Hela
 
Una tabia ya kujifanya unayajuaaaa ila leo nakuambia tulia ujibadili na pia unaonyesha hujui mengi na hata faida zake ambazo ni nyingi..
Nimeona umesha saidiwa maneno.
Bashite yuko twitter/instagram?

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
 
Tweter ni mwendo wa Fact na ku tweer na kula corner.. Walio jiunga Tweter ni watu wanaojielewa na wasomi HGT


Wanawake walio jiunga Istagram akili zao ni kama za Wema Setepu

Na wanaume wenye a/c Instagram akili zao ni kama za Jams Delisious.... Watu disaini hii huwezi kuwakuta tweter...
Wee Jambazi! Naona kama umetukana watu kwamba wanafanyiwa kama hapo kwenye red.
 
Tweter ni mwendo wa Fact na ku tweer na kula corner.. Walio jiunga Tweter ni watu wanaojielewa na wasomi HGT


Wanawake walio jiunga Istagram akili zao ni kama za Wema Setepu

Na wanaume wenye a/c Instagram akili zao ni kama za Jams Delisious.... Watu disaini hii huwezi kuwakuta tweter...
Wapo Ila Wanaendana Na Mazingira Husika ,
 
Wee Jambazi! Naona kama umetukana watu kwamba wanafanyiwa kama hapo kwenye red.
images
 
Mimi zote sipo, Twitter nilifungua account zamani nikaiacha, niliona haipo user friendly, instagram nilifungua pia nikaiacha niliona ina upuuzi mwingi sana

Mitandao yangu ni facebook hii nime like pages tu za habari ninazopenda kuzifuatilia na marafiki wachache

Youtube hii unapata kila kitu duniani kwa video kuanzia habari, muziki, michezo, movie clips za favorite movies, video elimu mbalimbali kuanzia finance, kilimo, teknolojia na mengine, sio lazima niwe na TV...

Youtube ndio mtandao wangu bora kuliko yote so far...Youtube ukiipenda video unaweza kui like for future reference,video kuhusu subject flani unaweza kuziweka kama playlist, unapata pia recommended videos wakiona unapenda aina flani za video na mengine mengi, sema price yake uwe na intanet ya uhakika

Jamiiforums napenda mijadala ya hapa.... ni kipaza sauti cha kila mtu
Heshima Comrade.

Ukiwa na maono ya hivi unaonekana mshamba kweli. Hongera sana kwa hili Mkuu, ni hatua kubwa sana.

Nakumbuka nilijiunga Facebook mwaka 2006 na ku-delete a/c mwaka huohuo. Whatsapp niliachana nayo since Feb '15. Instagram sikuwahi kujiunga, Twitter, Badoo, Palmchat na kadhalika. Nipo Jamii Forums na Quora. You're welcome dear, yo'll learn alot of things.

Kule hakuna Nyuzi za kupeana Likes wala ushenzi (kumradhi), Hakuna Forums za Makapuku wala Majukwaa yaso na maadili. Ni kufunzana, kuelekezana kwa hekima na kadhalika. Hakuna matusi wala majibu ya hovyo.

Hii mitandao ambako simo ni Programmes agendas na Hollywood products ambazo kimsingi hazipo kumfikirisha mtumiaji. Zipo kwa ajili ya kumsisimua na kumfanya mtumiaji kuitumia pasina kutumia utashi, mantiki na kadhalika. Wana subliminal commands ambazo ni sumu kubwa sana katika Ubongo wa mwanadamu. How many of us know this?..

Pia Jamii ambazo hazina Elimu ya kutosha, ajira na kadhalika zipo obssesed sana na mambo yaso na tija. Umbea, mapenzi, mijadala ya hovyo, haramu kuwa halali na kadhalika ni kielelezo cha namna tunavyoandaliwa kufikirishwa badala ya kufikiri wenyewe. Haya ndiyo mambo yanayopewa kipaumbele kikubwa sana. Hatupo serious na masuala serious, unategemea nini?.

Ieleweke kuwa "Lengo langu si kubeza watumiaji wa mitandao mbalimbali", hoja yangu hapa ni msisitizo wa namna ya kuitumia hii mitandao kwa kuongozwa na Utashi zaidi na si kuendeshwa na mkumbo. Ina faida lukuki na hasara pia.

Ahsante sana kwa Jamii Forums.

Hekima Ni Uhuru.
 
Mpumbavu sana Huyu kwa maana hio Michelle Obama, Barack Obama, Donald Trump, Vladmir Putin, Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na wengine wengi wana akili kama za Delicious?? wewe una umaskini wa Fikra na wa Hela
Putin yupo Insta??????????? Rusia hawana access na mitandao yote ya kimagharibi....... Wengine uliowataja ni mule mule....


Mim na wew nani mwenye fikra za umaskini na hela???? Chill
 
Heshima Comrade.

Ukiwa na maono ya hivi unaonekana mshamba kweli. Hongera sana kwa hili Mkuu, ni hatua kubwa sana.

Nakumbuka nilijiunga Facebook mwaka 2006 na ku-delete a/c mwaka huohuo. Whatsapp niliachana nayo since Feb '15. Instagram sikuwahi kujiunga, Twitter, Badoo, Palmchat na kadhalika. Nipo Jamii Forums na Quora. You're welcome dear, yo'll learn alot of things.

Kule hakuna Nyuzi za kupeana Likes wala ushenzi (kumradhi), Hakuna Forums za Makapuku wala Majukwaa yaso na maadili. Ni kufunzana, kuelekezana kwa hekima na kadhalika. Hakuna matusi wala majibu ya hovyo.

Hii mitandao ambako simo ni Programmes agendas na Hollywood products ambazo kimsingi hazipo kumfikirisha mtumiaji. Zipo kwa ajili ya kumsisimua na kumfanya mtumiaji kuitumia pasina kutumia utashi, mantiki na kadhalika. Wana subliminal commands ambazo ni sumu kubwa sana katika Ubongo wa mwanadamu. How many of us know this?..

Pia Jamii ambazo hazina Elimu ya kutosha, ajira na kadhalika zipo obssesed sana na mambo yaso na tija. Umbea, mapenzi, mijadala ya hovyo, haramu kuwa halali na kadhalika ni kielelezo cha namna tunavyoandaliwa kufikirishwa badala ya kufikiri wenyewe. Haya ndiyo mambo yanayopewa kipaumbele kikubwa sana. Hatupo serious na masuala serious, unategemea nini?.

Ieleweke kuwa "Lengo langu si kubeza watumiaji wa mitandao mbalimbali", hoja yangu hapa ni msisitizo wa namna ya kuitumia hii mitandao kwa kuongozwa na Utashi zaidi na si kuendeshwa na mkumbo. Ina faida lukuki na hasara pia.

Ahsante sana kwa Jamii Forums.

Hekima Ni Uhuru.
Quora pia nipo lakini ni msomaji tu, kuna mada nzuri sana kule
Ila kuwa social kwenye hii mitandao, sio mbaya sana mkuu..tatizo ni mtu kuwa 'too social' na kusahau mambo serious
 
Bado najiuliza umefikaje JF wakati hata kuandika 'Twitter' hauwezi
Mwisho wa sentensi lazima umalizie na alama ya kiuandishi.

Tuna nukta, alama ya mshangao, funga semi, ulizo na kadhalika. Kwanini hakuna alama yoyote baada ya neno la mwisho?.
 
Ila kuwa social kwenye hii mitandao, sio mbaya sana mkuu
Sikusema ni mbaya kidogo Mkuu!

Nimetoa msisitizo juu ya hii mitandao ya kijamii, Naomba unisome tena katika paragraph yangu ya mwisho then utanielewa.

Kuwa kwenye social networks si mbaya, udunya ni pale unapoacha kuongozwa na utashi.
 
Back
Top Bottom