Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,291
- 14,782
Humu ndani ni kama tuko darasani mkuu, kuna watu wana akili za kila aina.Usinilishe maneno mkuu, hakuna mahala ambapo nimesema mtandao wa jamiiforums ni wa kindezi bali nimesema humu kila mtu kavimba, boss yeye, billionaire yeye, msomi yeye, mla bata yeye yaaani fix za kutosha ila sijauponda kuwa ni wa kindezi, rudia kusoma tena
Hayo mambo uliyoyataja hayakwepeki humu lazima yawepo na hiyo ndio Jamii.