Kwanini Watanzania wengi hawasomi vitabu?

Kwanini Watanzania wengi hawasomi vitabu?

Isaka James

Member
Joined
Jan 17, 2023
Posts
14
Reaction score
22
Habari ndugu zangu,

Nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu kuhusu suala la usomaji wa vitabu hapa nchini kwetu Tanzania.

Inaonekana kama watu wengi, hasa vijana, hawachukui muda kusoma vitabu vya maarifa, historia, au hata hadithi za kuburudisha.

Je, hii inatokana na:

1. Ukosefu wa muda?

2. Gharama ya vitabu kuwa juu?

3. Kukosekana kwa utamaduni wa kusoma vitabu toka utotoni?

4. Teknolojia kama simu na mitandao ya kijamii kuchukua nafasi?

Ni wakati mzuri tujadili hili. Unafikiri tunaweza kufanya nini kuboresha hali hii? Je, kuna mbinu au programu zinazoweza kutusaidia kuhamasisha watu kupenda kusoma?

Tafadhali toa maoni yako. Ningependa sana kusikia mawazo ya kila mtu.

Hii inaweza kuwa njia nzuri ya kuanzisha mjadala wa kina na wa maana kwenye kundi unalopanga kuchapisha.
 
Habari ndugu zangu,

Nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu kuhusu suala la usomaji wa vitabu hapa nchini kwetu Tanzania.

Inaonekana kama watu wengi, hasa vijana, hawachukui muda kusoma vitabu vya maarifa, historia, au hata hadithi za kuburudisha.

Je, hii inatokana na:

1. Ukosefu wa muda?

2. Gharama ya vitabu kuwa juu?

3. Kukosekana kwa utamaduni wa kusoma vitabu toka utotoni?

4. Teknolojia kama simu na mitandao ya kijamii kuchukua nafasi?

Ni wakati mzuri tujadili hili. Unafikiri tunaweza kufanya nini kuboresha hali hii? Je, kuna mbinu au programu zinazoweza kutusaidia kuhamasisha watu kupenda kusoma?

Tafadhali toa maoni yako. Ningependa sana kusikia mawazo ya kila mtu.

Hii inaweza kuwa njia nzuri ya kuanzisha mjadala wa kina na wa maana kwenye kundi unalopanga kuchapisha.
Rabbon alisema wanapenda kula ugali, hivyo ugali unawafanya wasipende kusoma vitabu
 
Mifumo yetu ya Maisha na Malezi kiujumla.

Familia za chini wazazi wako focused sana na maisha, Ni wazazi wenye maarifa pekee ndio wataweza kufundisha watoto kusoma vitabu.

Familia zenye kipato, Teknolojia inaathiri. Unakuta muda mwingi kukaa na watoto kwenye TV, Tiktok n.k, Ni wazazi wenye maarifa pekee ndio wataweza kufundisha watoto kusoma vitabu.
 
binafsi naona utamaduni ndio umebadilika,wengi hawasomi tena kwenye hard copy badala yake wanasoma kwnye soft copy

kuthibitisha hilo weka mada ya kirabu chochote hapa uone kama kitakosa majibu yake
 
Habari ndugu zangu,

Nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu kuhusu suala la usomaji wa vitabu hapa nchini kwetu Tanzania.

Inaonekana kama watu wengi, hasa vijana, hawachukui muda kusoma vitabu vya maarifa, historia, au hata hadithi za kuburudisha.

Je, hii inatokana na:

1. Ukosefu wa muda?

2. Gharama ya vitabu kuwa juu?

3. Kukosekana kwa utamaduni wa kusoma vitabu toka utotoni?

4. Teknolojia kama simu na mitandao ya kijamii kuchukua nafasi?

Ni wakati mzuri tujadili hili. Unafikiri tunaweza kufanya nini kuboresha hali hii? Je, kuna mbinu au programu zinazoweza kutusaidia kuhamasisha watu kupenda kusoma?

Tafadhali toa maoni yako. Ningependa sana kusikia mawazo ya kila mtu.

Hii inaweza kuwa njia nzuri ya kuanzisha mjadala wa kina na wa maana kwenye kundi unalopanga kuchapisha.
Acha vitabu, hàta mabango ya barabarani hawasomi. Mtu anauliza mtaa huku kashika bango lililoandikwa jina la mtaa anaouliza.
Angalia matangazo mtandaoni yameandikwa Bei ila watu kwenye comments kila mmoja anauliza bei ya hiyo bidhaa.
 
Maisha yetu hayaendani na vitabu na ni vigumu sana kutumia vitabu ktk maisha ya kitanzania na ukafanikiwa
Ebu chukua kitabu rich dady poor dady kilete ktk maisha ya kitanzania uone km kitakusaidia kutajirika na kua na mafanikio
 
Au chukua kitabu art of war by sunz afu apply technic zake ktk maisha ya kitanzania uone km kitakusaidia kuwashinda maadui ktk maisha yako

Mi ni msomaji mzr tu wa vitabu ila nilikuja gundua vitabu ving haviendani na mazingira yetu yan unasoma kupata knowledge lakin knowledge yenyewe haikusaidii chochote ktk maisha harisi ya kitanzania

Ni km kujifunza mambo ya hisa ndio uko dunian watu wanatajirika na wanaishi kwa kutegemea faida ya hisa alizowekeza sasa tuje kibongo bongo apa nunua hisa afu uone ni hasara tu
Naongea haya sabu najua mm ni mmiliki wa hisa za CRDB leo ni mwaka wa 10 ila sijawai ona faida ya hisa zangu za crdb labda nafaidika tu kuhuzuria vikao vyao na sherehe zao kwenye mahotel makubwa ila tofauti na apo sjawai ona pesa ya maana iliyoingia kwa acc yangu kutokana na mm kuwekeza hisa kwa zaidi ya 7/10 yrs
 
sio watanzania tu kuna mambo mengi yamefichwa kwenye vitabu ila tatizo sio kusoma vitabu tatizo kuelewa code mbalimbali za vitabuni ..mfano wakristo wengi wanasema Yesu atatokea mawinguni ? what the hell
 
Au chukua kitabu art of war by sunz afu apply technic zake ktk maisha ya kitanzania uone km kitakusaidia kuwashinda maadui ktk maisha yako
adui wa kwanza ni wewe mwenyewehakuna maadui nje ya wewe ukiona wapo wewe ndio umetengeneza
 
Habari ndugu zangu,

Nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu kuhusu suala la usomaji wa vitabu hapa nchini kwetu Tanzania.

Inaonekana kama watu wengi, hasa vijana, hawachukui muda kusoma vitabu vya maarifa, historia, au hata hadithi za kuburudisha.

Je, hii inatokana na:

1. Ukosefu wa muda?

2. Gharama ya vitabu kuwa juu?

3. Kukosekana kwa utamaduni wa kusoma vitabu toka utotoni?

4. Teknolojia kama simu na mitandao ya kijamii kuchukua nafasi?

Ni wakati mzuri tujadili hili. Unafikiri tunaweza kufanya nini kuboresha hali hii? Je, kuna mbinu au programu zinazoweza kutusaidia kuhamasisha watu kupenda kusoma?

Tafadhali toa maoni yako. Ningependa sana kusikia mawazo ya kila mtu.

Hii inaweza kuwa njia nzuri ya kuanzisha mjadala wa kina na wa maana kwenye kundi unalopanga kuchapisha.
Utamaduni, wala si gharama or muda. Mbongo hapendi kushughulisha akili na hataki kitu kinacho umiza akili
 
Vitabu vingi vina knowledge lakini sio knowledge ambayo ni applicable kwa nchi kama Tanzania.

Kwa bahati mbaya waandishi wengi wa kibongo ni watu wa kukopi vitabu vya watu wa nje wakati huo vitabu hivyo vina mambo kadhaa ambayo sio applicable.
 
Utamaduni, wala si gharama or muda. Mbongo hapendi kushughulisha akili na hataki kitu kinacho umiza akili
ni kweli ila nakuambia kuna kusikia na kufanyia kazi kuna kuelewa ndivyo au sivyo ..
tatizo code wengi humu tukisema achaneni na kwenda mecca au rome mnaandamana
 
Habari ndugu zangu,

Nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu kuhusu suala la usomaji wa vitabu hapa nchini kwetu Tanzania.

Inaonekana kama watu wengi, hasa vijana, hawachukui muda kusoma vitabu vya maarifa, historia, au hata hadithi za kuburudisha.

Je, hii inatokana na:

1. Ukosefu wa muda?

2. Gharama ya vitabu kuwa juu?

3. Kukosekana kwa utamaduni wa kusoma vitabu toka utotoni?

4. Teknolojia kama simu na mitandao ya kijamii kuchukua nafasi?

Ni wakati mzuri tujadili hili. Unafikiri tunaweza kufanya nini kuboresha hali hii? Je, kuna mbinu au programu zinazoweza kutusaidia kuhamasisha watu kupenda kusoma?

Tafadhali toa maoni yako. Ningependa sana kusikia mawazo ya kila mtu.

Hii inaweza kuwa njia nzuri ya kuanzisha mjadala wa kina na wa maana kwenye kundi unalopanga kuchapisha.
Unasoma kitabu ukiwa na njaa unataka uwe chizi? Vitabu wanasoma walipshiba.
 
Vitabu vingi vina knowledge lakini sio knowledge ambayo ni applicable kwa nchi kama Tanzania.

Kwa bahati mbaya waandishi wengi wa kibongo ni watu wa kukopi vitabu vya watu wa nje wakati huo vitabu hivyo vina mambo kadhaa ambayo sio applicable.
vitabu vingi ni vya kibaguzi kwanza vinaendekeza material things money cars sex ...those forbiden books huwez kuvipata kirahis utapata vinavyoendeleza migogoro ya mwili
 
Teknolojia kama simu na mitandao ya kijamii kuchukua nafasi?

Vitabu hard copies na soft copies vimejaa tena hivi soft copies ndiyo vinapatikana katika intaneti unaweza kusoma kwa kutumia vifaa vyote vya TEHAMA

Nadhani kusoma kuna ile dhana ni kama unajitayarisha kwa mtihani au upo shule na chuo hivyo tukimaliza hatua hizo hatutaki tena kusoma kwani inatukumbusha shule kumbe siyo kweli vitabu ni hazina ya maarifa, burudani na udadisi mbalimbali zaidi ya tuliyokuwa tunasomeshwa shule.
 
vitabu vingi ni vya kibaguzi kwanza vinaendekeza material things money cars sex ...those forbiden books huwez kuvipata kirahis utapata vinavyoendeleza migogoro ya mwili
Mkuu mimi ni mdau wa vitabu kama itawezekana naomba nitumie vitabu ambavyo uko navyo nipate faida na mimi.

Nilikuwa na kitabu kinachoitwa "THE TIMELESS SECRET OF HEALTH AND REJUVENATION" ila sikiona naomba nitumie hizo nondo nyingi nyingi
 
Back
Top Bottom