Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,626
- 18,227
Wote hao ni marafiki wa kuribu wa Lowassa sio kwamba wanapigania mabadiliko ya kweli,wamekimbiria huko kujaribu bahati yao - wanacho tafuta ni vyeo just incase, mengine yote ni maigizo tu. Watanzania tumesali sana Mungu hawezi kutupatia kiongozi wa type ya YELSTIN.Hayati Kolimba akiwa katibu mkuu wao alisema "...ccm imepoteza dira na mwelekeo..." bado watanzania hawakumuelewa... Mzee Moyo nae akasema "hii si ccm niliyoijua..." bado hatuelewi... mzee Kingunge amerudia tena haitoshi balozi Mwapachu kauli hizohizo... bado tumejing'ang'aniza humo!!! Wanaolijua gari wameshuka wakijua halina breki na mbele kuna korongo sisi wapandia njiani na wadandiaji tunapanda tukishangilia KWA SAUTI KUBWA MBELE KWA MBELE!!!!
HIVI HUKO MBELE MMESHAJUA KUNA NINI?
KWANINI WATAZANIA HATUTAMCHAGUA EDWARD LOWASSA:
Kwanza si mwadillifu, ana vinasaba vya wizi na ufisadi, mfano Richmond, Scotland yard, shivacom tz n.k
Pili, Lowassa ni mbaguzi, mbinafsi asiyependa umoja wa kitaifa.
Tatu, Lowassa ni mdini na mkabila ambaye anatanguliza maslahi yake na watu wanaomzunguka.
Nne, Lowasa si mzaledo ni mpenda choko choko asiye penda uwepo wa amani na usalama.
Tano, Lowassa mwongo na mwenye ndimi mbili, haaminiki.
Sita, Makundi yanayopigana kumpeleka lowassa ikulu ni genge la wezi, na watatumia ikulu kwa faida na biashara zao binafsi.
Mwisho, Lowassa ni mla rushwa na fisadi ambaye anapigania biashara zake mbalimbali kwa kukwepa kodi.
Watanzania hatutamchagua Lowassa kwa sababu amekosa sifa na haaminiki.
KWANINI WATAZANIA HATUTAMCHAGUA EDWARD LOWASSA:
Kwanza si mwadillifu, ana vinasaba vya wizi na ufisadi, mfano Richmond, Scotland yard, shivacom tz n.k
Pili, Lowassa ni mbaguzi, mbinafsi asiyependa umoja wa kitaifa.
Tatu, Lowassa ni mdini na mkabila ambaye anatanguliza maslahi yake na watu wanaomzunguka.
Nne, Lowasa si mzaledo ni mpenda choko choko asiye penda uwepo wa amani na usalama.
Tano, Lowassa mwongo na mwenye ndimi mbili, haaminiki.
Sita, Makundi yanayopigana kumpeleka lowassa ikulu ni genge la wezi, na watatumia ikulu kwa faida na biashara zao binafsi.
Mwisho, Lowassa ni mla rushwa na fisadi ambaye anapigania biashara zake mbalimbali kwa kukwepa kodi.
Watanzania hatutamchagua Lowassa kwa sababu amekosa sifa na haaminiki.
Sema wewe ndie hutamchagua lowassa sio wote. Mimi na familia yangu wote ni watu wamabafiliko...CCM tupa kule
KWANINI WATAZANIA HATUTAMCHAGUA EDWARD LOWASSA:
Kwanza si mwadillifu, ana vinasaba vya wizi na ufisadi, mfano Richmond, Scotland yard, shivacom tz n.k
Pili, Lowassa ni mbaguzi, mbinafsi asiyependa umoja wa kitaifa.
Tatu, Lowassa ni mdini na mkabila ambaye anatanguliza maslahi yake na watu wanaomzunguka.
Nne, Lowasa si mzaledo ni mpenda choko choko asiye penda uwepo wa amani na usalama.
Tano, Lowassa mwongo na mwenye ndimi mbili, haaminiki.
Sita, Makundi yanayopigana kumpeleka lowassa ikulu ni genge la wezi, na watatumia ikulu kwa faida na biashara zao binafsi.
Mwisho, Lowassa ni mla rushwa na fisadi ambaye anapigania biashara zake mbalimbali kwa kukwepa kodi.
Watanzania hatutamchagua Lowassa kwa sababu amekosa sifa na haaminiki.
Bunge lilishamhukumu kuwa ni fisadi.Si lazima kumpeleka mahakamani kwa sasa kumnyima kura tarehe 25 octoba ni hukumu ya kumtosha sana tena sana.
Katika watu wasio na haya dunia hii ni Lowasa hivi anaweza akaka akiota uraisi kweli!!!!
Angekuwa anahitaji uraisi ilitakiwa ajiandae kitabia na kiafya kuanzia miaka mingi iliyopita.Lakini hakujali kujiangalia kitabia wala kiafya.Alijiishia maisha ya hovyo yasiyompendeza Mungu wala wanadamu leo hii huyu bila aibu anaibuka eti anautaka uraisi!!! NYOOOOOOOOOOO!!!!!