Mi ni kjana mwenye umri wa miaka 18 niko katika uhusiano na msichana kwa mwaka mzima sasa lakini huyu msichana hataki kufanya mapenzi na mimi eti kisa anahofia kuwa ntamchezea tu na kumuacha nimeongea maneno yote ya kujitetea lakni inaonekana kama ni kazi bure na nampenda sana licha ya kuwa na wasichana wengi duniani ki ukweli nae ananipenda kwa jinsi ninavyoona anasema eti nisubiri mpaka tuoane sasa wana JF eti anachonifanyia ni sahihi jamani???
Ushatest kuvaaa ndom ikakutosha?
Umekumbuka kuwafungulia kuku banda?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Kwanza you are toooo young to be in love relation ndo maana hata huyo mdada hana imani na wewe,em jaribu kuwa muwazi kabisa katika umri huo una wazo lolote la kuoa au ndo kutaka kumchezea binti wa watu?Yawezekana binti kafanya consideration ya umri wako na kuona hamna kitakachoendela hapo baadae na ndo maana kakupa time aone nini mwisho wa relation yenu so usimlaumu yuko sahihi kabisa na unatakiwa umpongeze kwa msimamo wake huo.Mi ni kjana mwenye umri wa miaka 18 niko katika uhusiano na msichana kwa mwaka mzima sasa lakini huyu msichana hataki kufanya mapenzi na mimi eti kisa anahofia kuwa ntamchezea tu na kumuacha nimeongea maneno yote ya kujitetea lakni inaonekana kama ni kazi bure na nampenda sana licha ya kuwa na wasichana wengi duniani ki ukweli nae ananipenda kwa jinsi ninavyoona anasema eti nisubiri mpaka tuoane sasa wana JF eti anachonifanyia ni sahihi jamani???
Nashukuru sana kwa ushauri wenu jaman mi nimehtm kdato cha nne ila kwako wewe majany unaesema navuta bangi poa tu ila let me tell you that BOGAS ARE THE ONES WHO HAVE LOWLY THINKING CAPACITY....
Kijana amekoma hata rudia tena jamani....................!:becky: