Kwanini wasichana waliolelewa na mama tu au familia ambayo mama anatawala huwa na kasoro hizi?

LINCOLINMTZA

JF-Expert Member
Mar 15, 2011
1,639
516
Nimejaribu kufuatilia wasichana/watoto wengi wa kike ambao wamelelewa na mama tu kama familia ya mzazi mmoja au familia ambayo mama anatawala wanakuwa

1. wana kiburi sana kwenye jamii
2. Hawana nidhamu kwenye mambo mengi sana ya kijamii
3. Kiburi na kutaka kutawala kwenye mahusiano hutokea na ndoa maana huwa wana migogoro mingi
4. Si wavumilivu kabisa
5. ---------

N.K

Fanya haka kautafiti, utaona. Nashauri kabla ya kuoa, kijana angalia familia ya binti kama analelewa na mama tu au mama anatawala familia kwani hurithi hiyo tabia.
 
Yes kuna psychological issues kwa watu walio lelewa na single parent kwa ujumla,iwe baba pekee au mama pekee.

KIKUNGU, mwaga vitu hapa ili wanaume wapate elimu ya kutumia kabla ya kunasa kwenye familia za namna hiyo.
 
sio wote kuna wengi wamelelewa na mzazi mmoja na wana tabia nzuri tu. inategemea na mama mwenyewe kamlea vipi mtoto wake. mimi girlfriend wangu kalelewa na mama pekee toka anazaliwa ila anatabia nzuri sana. mwaka jana nilikuwa na msichana mwingine nae pia alikuwa na situation the same ila alikuwa poa sana kitabia. Hivyo nafikili malezi ndio yanachangia
 
sio wote kuna wengi wamelelewa na mzazi mmoja na wana tabia nzuri tu. inategemea na mama mwenyewe kamlea vipi mtoto wake. mimi girlfriend wangu kalelewa na mama pekee toka anazaliwa ila anatabia nzuri sana. mwaka jana nilikuwa na msichana mwingine nae pia alikuwa na situation the same ila alikuwa poa sana kitabia. Hivyo nafikili malezi ndio yanachangia
nawewe unasingle parent mbona unabadilisha wanawake kama nguo?
 
sio wote kuna wengi wamelelewa na mzazi mmoja na wana tabia nzuri tu. inategemea na mama mwenyewe kamlea vipi mtoto wake. mimi girlfriend wangu kalelewa na mama pekee toka anazaliwa ila anatabia nzuri sana. mwaka jana nilikuwa na msichana mwingine nae pia alikuwa na situation the same ila alikuwa poa sana kitabia. Hivyo nafikili malezi ndio yanachangia

Basi waoe ili uhakikishe, hayo mapenzi ya remote hata shetani huwa anajifanya malaika. Unfaikiri mahusiano ya uchumba yanaendelea baada ya ndoa? Ile sweet unayoitana huwa sweat!
 
mkuu ni asilimia 99.9999

Nafikiri unasample yakutosha mkuu. Kwetu, usukumani, single mother familia hatu-encourage na kuiterntain kabisa. Tunaziita "kaya nja Keshimbe". Mtoto na mama wanafanya wanchotaka, wanaondoka na kurudi muda wanatoka wao, na vurugu zingine nyingi.
 
basi waoe ili uhakikishe, hayo mapenzi ya remote hata shetani huwa anajifanya malaika. Unfaikiri mahusiano ya uchumba yanaendelea baada ya ndoa? Ile sweet unayoitana huwa sweat!

ndo ukweli wenyewe anadhani uchumba ni ndoa!
 
Nimejaribu kufuatilia wasichana/watoto wengi wa kike ambao wamelelewa na mama tu kama familia ya mzazi mmoja au familia ambayo mama anatawala wanakuwa na
1. wana kiburi sana kwenye jamii
2. Hawana nidhamu kwenye mambo mengi sana ya kijamii
3. Kiburi na kutaka kutawala kwenye mahusiano hutokea na ndoa maana huwa wana migogoro mingi
4. Si wavumilivu kabisa
5. ---------

N.K

Fanya haka kautafiti, utaona. Nashauri kabla ya kuoa, kijana angalia familia ya binti kama analelewa na mama tu au mama anatawala familia kwani hurithi hiyo tabia.
Copy to katlego
 
Last edited by a moderator:
nimejaribu kufuatilia wasichana/watoto wengi wa kike ambao wamelelewa na mama tu kama familia ya mzazi mmoja au familia ambayo mama anatawala wanakuwa na
1. Wana kiburi sana kwenye jamii
2. Hawana nidhamu kwenye mambo mengi sana ya kijamii
3. Kiburi na kutaka kutawala kwenye mahusiano hutokea na ndoa maana huwa wana migogoro mingi
4. Si wavumilivu kabisa
5. ---------

n.k

fanya haka kautafiti, utaona. Nashauri kabla ya kuoa, kijana angalia familia ya binti kama analelewa na mama tu au mama anatawala familia kwani hurithi hiyo tabia.
kwani hujui its just a physiological problem awe baba au mama ,kama amelelewa na mama yake tu anaamini kuwa wanaume hawana faida yoyote katika jamii na niwatu katili sana na hawana maana awepo asiwepo life go on and vise versa is true.hata kama baba yupo hapo ila hana faida kwa fammilia inazaa yaleyele
angalizo:
Kuna ambao baba zao walifariki wakiwa wadogo akalelewa na mama tu je wasiolewe kisa ni utafiti wako???
 
  • Thanks
Reactions: Luv
kwani hujui its just a physiological problem awe baba au mama ,kama amelelewa na mama yake tu anaamini kuwa wanaume hawana faida yoyote katika jamii na niwatu katili sana na hawana maana awepo asiwepo life go on and vise versa is true.hata kama baba yupo hapo ila hana faida kwa fammilia inazaa yaleyele
angalizo:
Kuna ambao baba zao walifariki wakiwa wadogo akalelewa na mama tu je wasiolewe kisa ni utafiti wako???
Mpendwa Nivea, kikubwa hapa ni kujaribu kuangalia uhusiano wa malezi ya mama tu au mama aliyetawala famili na tabia za mabinti bila kujali sababu za kuwa katika hali hiyo. kama binti anatabia nzuri aliyelelewa na single mother family (ambao ni wachache), itakuwa faida yake kwa yeye na familia yake. Lakini wengi wamekuwa wakileta furugu nyingi sana katika familia zao. Kwa hiyo nawashauri waoaji kuzingatia kigezo hicho kwa manufaa ya ndoa na maisha yao ya baadaye. Sikatazi kuoelewa, ila angalizo ndo hilo hapo. Wengi waliooa amabao nikutana nao wanalamika sana na ndoa zao zimeshindwa kabisa kudumu.
 
Jibu ni dogo sana :- kuna element chembe ndogo in iitwa "Hayaa" hiyo kama mdada anayo basi ni vema na mwafaka, Na ikiwa hana "Hayaa" basi anakuwa na hayo uliyo yaeleza hapo juu!! sasa game ipo kwako...mkuu
 
mpendwa nivea, kikubwa hapa ni kujaribu kuangalia uhusiano wa malezi ya mama tu au mama aliyetawala famili na tabia za mabinti bila kujali sababu za kuwa katika hali hiyo. kama binti anatabia nzuri aliyelelewa na single mother family (ambao ni wachache), itakuwa faida yake kwa yeye na familia yake. Lakini wengi wamekuwa wakileta furugu nyingi sana katika familia zao. Kwa hiyo nawashauri waoaji kuzingatia kigezo hicho kwa manufaa ya ndoa na maisha yao ya baadaye. Sikatazi kuoelewa, ila angalizo ndo hilo hapo. Wengi waliooa amabao nikutana nao wanalamika sana na ndoa zao zimeshindwa kabisa kudumu.
wewe ni baba wawatoto leo upo kesho haupo mark your word ,pia una wadada nafikiri anything can happen
 
kwani hujui its just a physiological problem awe baba au mama ,kama amelelewa na mama yake tu anaamini kuwa wanaume hawana faida yoyote katika jamii na niwatu katili sana na hawana maana awepo asiwepo life go on and vise versa is true.hata kama baba yupo hapo ila hana faida kwa fammilia inazaa yaleyele
angalizo:
Kuna ambao baba zao walifariki wakiwa wadogo akalelewa na mama tu je wasiolewe kisa ni utafiti wako???

Nivea mpenzi,hatuongelei sababu za kulelewa na single parents,iwe mzazi mmoja amekufa au just normal divorce ambayo imesababishwa either na mambo mazuri au mabaya ya mzazi mmoja wapo hapana,tunaongelea the aftermath,effect psychologically tunazozipata kwa kulelewa na upande mmoja wa mzazi.I am talking through experience from my ex,hata watoto wangu ni wahanga wa hili,najaribu sana kuwalinda na hili lakini najua deep down watakuwa wahanga wa hili tunaloongela hapa.
 
Back
Top Bottom