Author
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 1,745
- 8,230
Kuna vitu ambavyo vinaweza kumfanya mtu asitake kuwa na mwanaume au awe bikra muda mrefu (wengine mpaka miaka 29). Baadhi ya visababishi ni:
1. Tabia; tunaita repealing behaviors. Kila mwanaume unamkataa.
2. Bad background history e.g. aliona baba akimtesa sana mama yake hivyo akachukia wanaume kabisa.
3. Tom boy; mtu kuwa na hormone nyingi za kiume (testosterone) hivyo kuona wanaume ni kama jinsia nyenzake.
4. Lesbianism; kuvutiwa sana na kufanya mapenzi na mwanamke mwenzake hivyo kutotamani mwanaume.
5. Masturbation; kuona anaridhishwa zaidi na yeye mwenyewe kuliko mwanaume. Huyu hata akikutana na mwanaume bado atapiga mastur.
6. Use of dildos; hasa kwa wale wanawake wasiopenda kuwa dominated wakati wa tendo. Wanaopenda kuwa na full control hivyo kuona wanaume kama watawanyima raha.
7.Kutokuwa na hamu ya tendo (domant emotions); hii huweza kusababishwa na magonjwa kama kisukari na mengine...Kutokufanya mapenzi muda mrefu sana husababisha mwili kuwa domant pia.
8. Bad perception over sex; hapa mtu kuona sex ni uchafu au ndiyo chanzo cha matatizo yote duniani.
9 .Kushika dini sana; kuamini kuwa ataletewa na Bwana.
Mdau unaweza ongeza ya kwako.
Nawasilisha.
1. Tabia; tunaita repealing behaviors. Kila mwanaume unamkataa.
2. Bad background history e.g. aliona baba akimtesa sana mama yake hivyo akachukia wanaume kabisa.
3. Tom boy; mtu kuwa na hormone nyingi za kiume (testosterone) hivyo kuona wanaume ni kama jinsia nyenzake.
4. Lesbianism; kuvutiwa sana na kufanya mapenzi na mwanamke mwenzake hivyo kutotamani mwanaume.
5. Masturbation; kuona anaridhishwa zaidi na yeye mwenyewe kuliko mwanaume. Huyu hata akikutana na mwanaume bado atapiga mastur.
6. Use of dildos; hasa kwa wale wanawake wasiopenda kuwa dominated wakati wa tendo. Wanaopenda kuwa na full control hivyo kuona wanaume kama watawanyima raha.
7.Kutokuwa na hamu ya tendo (domant emotions); hii huweza kusababishwa na magonjwa kama kisukari na mengine...Kutokufanya mapenzi muda mrefu sana husababisha mwili kuwa domant pia.
8. Bad perception over sex; hapa mtu kuona sex ni uchafu au ndiyo chanzo cha matatizo yote duniani.
9 .Kushika dini sana; kuamini kuwa ataletewa na Bwana.
Mdau unaweza ongeza ya kwako.
Nawasilisha.