Kwanini wanawake wengine hawajishughulishi kitandani?

JOMAKIBU

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2015
Posts
538
Reaction score
70
Habari za Jumapili wana Jf,

Hivi ni kwanini kunabaadhi ya wasichana/wanawake hawazungushi feni wakati wa Metch (kukatika) wakatikugegedwa). Yaani awapo kitandani anatulia tuli kama gogo vile.Yaani hatikisiki hata mguu! Utadhani kajifia! Sasa nawauliza kwanini lakini mnawaachia wenzenu ndio washugulike?
 
Ndo athari za video za ngono hizo. Jiulize, wewe siku baba na mama yako walipofunga madirisha kukutafuta, mama yako alikuwa kama feni? Za kusikia vijiweni, changanya na zako.
 
Ndo athari za video za ngono hizo. Jiulize, wewe siku baba na mama yako walipofunga madirisha kukutafuta, mama yako alikuwa kama feni? Za kusikia vijiweni, changanya na zako.
Mambo yanabadilika kila uchwao acha watu wa adopt new things so long as they like ww unataka style za ufanyaji enzi izo mpaka leo ziwe izo izo
 
mambo yanabadilika kila uchwao acha watu wa adopt new things so long as they like ww unataka style za ufanyaji enzi izo mpaka leo ziwe izo izo

Usiniwekee maneno mdomoni, sijasema afanye kama zamani, lengo langu lilikuwa kuonyesha kwamba, ngono si lazima kukata feni.
 
achana na wachagga ndugu, utaongeza stress tu... njoo pwani huku uone mambo
 
JOMAKIBU

Muwe mnauliza makabila kabla hamjatongoza sasa wewe baba ake mmachame mama mkurya unataka mauno yatoke wap? Acha ujinga
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…