Hapo kuna mawili inferiority complexy kwa mwanaume na pride kwa mwanamke....
Baadhi ya wanawake wakielimika huwa wanajikuta wao ndo wao na huwezi kuwaambia kitu.....
Pia kuna ile dhana ya how can date or marry mtu nilimzid elimu?!.....
Wanaume wengi tunaogopa changamoto toka me, hatupendi kuulizwa baadhi ya maswali eg mbona umechelewa au pesa flan imetumikaje nk. Tunapenda ke was kuitikia ndio Mme wangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.