Kwanini wanawake wanakuwa hivi?

Kwanini wanawake wanakuwa hivi?

Kurutamjanja

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2013
Posts
396
Reaction score
377
Wadau hili ni la Kweli Kabisa. Mm Binafsi nimelichunguza nimeona Katika Mahusiano Kuna upungufu Kwa Wanawake, Mama na Dada Zetu. Kwanini Mwanaume Hata awe na PHD, awe na Kazi hata ya Uwaziri, awe Na Biashara Kubwa Kiasi Gani awe bilionea na awe HB Kiasi gani anaweza Akamuoa Mwanamke Darasa la saba au hata ambaye hajasoma kabisa. Na maisha yakaenda. Ila kwanini Mwanamke akiwa na Kadigree hata kamoja tu Hapo Kuolewa na O-Level ni kazi kubwa sana. STD 7 ndio kabisa labda Mwanaume huyo awe na mkwanja. Hivi ni kwanini? Kwa Hili Wanume imeonekani ni Wakarimu zaidi ya Kinadada. Nawasilisha.
 
Huwa mnajistukia wenyewe,mwanamke akikupenda huwa hana hayo ya elimu. Nyie hamujiamini,mara kule mara huku ali muradi muonekane vijogoo.
 
Wadau hili ni la Kweli Kabisa. Mm Binafsi nimelichunguza nimeona Katika Mahusiano Kuna upungufu Kwa Wanawake, Mama na Dada Zetu. Kwanini Mwanaume Hata awe na PHD, awe na Kazi hata ya Uwaziri, awe Na Biashara Kubwa Kiasi Gani awe bilionea na awe HB Kiasi gani anaweza Akamuoa Mwanamke Darasa la saba au hata ambaye hajasoma kabisa. Na maisha yakaenda. Ila kwanini Mwanamke akiwa na Kadigree hata kamoja tu Hapo Kuolewa na O-Level ni kazi kubwa sana. STD 7 ndio kabisa labda Mwanaume huyo awe na mkwanja. Hivi ni kwanini? Kwa Hili Wanume imeonekani ni Wakarimu zaidi ya Kinadada. Nawasilisha.

Na hyo inawagharimu kwani wanawake waliosoma kwangu ni mwiko kwani midomoni mwao kumejaa HAKI SAWA ambalo ni kinyume cha mpango wa Mungu
 
nyie wenyewe hamjiamini full kujistukia yaani, sasa mwanamke gani anayaka mwanaume asiyejiamini? alafu mwanaume anatakiwa awe juu ya mwanamke hiyo ni in everthing.
 
Back
Top Bottom