Kwanini Wanawake wanajichukia?

Kwanini Wanawake wanajichukia?

Mstahiki Mea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
5,582
Reaction score
10,112
Wapo wanafalsafa waliowahi kusema mtoto anapogundua yeye niwakike anaaza kujichukia , sitaki kuunga mkono sana madai yake lakini nikama yana mwelekeo wa ukweli.

Ninaamini kama ungekusanya wanawake kadhaa ukawauliza kama wangependa kuzaliwa wanaume au wakike kama walivyo wangechagua Me (kama watakuwa huru kusema hivyo)


Mambo yanayo chagiza hoja hiyo

- Wanawake wengi hupenda kutumia jinsia ya ke kama matusi sio ajabu kusikia hivi wewe nI mwanaume au mwanamke, una mambo ya kike na kadhalika

- Wanachukiana wao kwa wao, hawapeani nafasi n.k utasikia kuliko nikutane na mwanamke bora nikutane na mwanaume , labda kwenye huduma fulani

- Hudhani maumbile yao yana mwonekano mbaya ( sitafanua zaidi)

Nini kifanyike? Kwanza wanawake wanatakiwa kujikubali wenyewe kama wenyewe kuwa nao ni watu wameumbwa kwa mpango wa Mungu. Pili, jamii iache kuwafanyia uonevu ambao unasababisha kujichukia
Tatu , waache kujidharau hasa kutukana wenzao au sisi wanaume kwa kutukia jinsia kumtukana mtu kijinsia nijambo lililofaa, kwani kila jinsia nimuhimu na hakuna iliyobora kuliko nyenzake (tunategemeana na kukamilishana)

Nihayo tu
 
Mwanamke anajichukua kwa maana ni mwanamke

Ndio asili yake , ndio sifa yake

Sasa ukitaka uendane kama vile ukiume wako ulivyo basi unakosea sanaa na unajisumbua.

Mwanamke dharau,
Mwnamke kulinga,
Mwanamke kudeka

Hii ndio asili yao.
 
Kumbe nilisoma heading vibaya.

Kila nikitafuta sababu.

Hola.
 
IMG-20250615-WA0179.jpg
 
Roho mbaya inasababishwa na umasikini kwa kiwango kikubwa .

Kuzaliwa Mwanamke ni bahati nzuri kwakuwa unakuja kuwa ardhi ili watu wapande mbegu n.k

Ila unfortunately wanawake wakiafrica wengi ni useless
 
Mweh, aga gangi!!!
Wakati kuna uzi humu kidume uchwara kimoja kilisema kinatamani kungezaliwa mwanamke hahaha
 
Kuna Wanawake wanatumia kiungo chao cha mwilini kukifanya ni tusi la kumtukana mtu,
Mwanamke atamtukana mtu K......a wewe!
 
Back
Top Bottom