Kwanini wanawake wana tabia hii?

Kwanini wanawake wana tabia hii?

ngawia

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2014
Posts
834
Reaction score
858
Kitu nime experience kwa rafiki yangu mmoja alimtambulisha mchumba wake wiki ilyopita Nyumbani kwao sasa mama mdogo dada zake wameanza maneno ya kila mtu anasema lake Jumapili nilikuwa pale kwao sasa wakaanza kuniambia mshauri rafiki yako mwanamke gani yule kama ameshindwa kupata mwanamke mzuri tumtafutie nikawa nacheka sikujibu kitu.

Baba yake na rafiki na kaka zake hawana shida tulikuwa tunatia stori za mambo mengine tu mpira na siasa.Swali naomba kusaidiwa ni kwa nin wanawake ndio huwapiga wanawake wenzao vita ili hali hao wakiambiwa maneno yaleyale huko walikoolewa hulalamika sana?.

Ni kwa nini wakinamama hupenda kumchagulia watoto wao mwanamke wa kuolewa nae ili hali wao hakuchaguliwa waume zao walichagua wenyewe,ni kwa nini dada zetu ukiwaambia mwanaume ulieleta hafai huwa wakali sana ila ni rahisi kusema maneno hayo kwa kaka zao kwa nini dada zetu huwa hapendi kuona kaka zao wanaonyeshana upendo na wake zao na hukimbilia kudai kaka kageuzwa zoba ili hali wao wanafanyiwa hivyo na waume zao.
 
Yani natafuta dictionary yangu hapa kuna michango hapa inanichanganyaa
 
kitu nime experience kwa rafiki yangu mmoja alimtambulisha mchumba wake wiki ilyopita nyumbani kwao sasa mama dogo dada zake wameanza maneno ya kila mtu anasema lake jpili nilikuwa pale kwao sasa wakaanza kuniambia mshauri rafiki yako mwanamke gani yule kama ameshindwa kupata mwanamke mzuri tumtafutie nikawa nacheka sikujibu kitu...baba yake na rafiki na kaka zake hawana shida tulikuwa tunatia stori za mambo mengine tu mpira na siasa.Swali naomba kusaidiwa ni kwa nin wanawake ndio huwapiga wanawake wenzao vita ili hali hao wakiambiwa maneno yalele huko walikoolewa hulalamika sana?,,,,Ni kwa nini wakinana hupenda kumchagulia watoto wao mwanamke wa kuolewa nae ili hali wao hakuchaguliwa waume zao walichagua wenyewe,,,,,,ni kwa nin dada zetu ukiwaambia mwanaume ulieleta hafai huwa wakali sana ila ni rahisi kusema maneno hayo kwa kaka zao,,,, kwa nin dada zetu huwa hapendi kuona kaka zao wanaonyeshana upendo na wake zao na hukimbilia kudai kaka kageuzwa zoba ili hali wao wanafanyiwa hivyo na waume zao.....

Sasa, mambie awambie ivii "Uzuri wa gali Engine na sio body"
 
Ikiwa wanapinga tu bila ya sababu za msingi wanafanya makosa, lakini ni vyema wakaulizwa sababu, hao wote ni wanawake pengine wanajuana siri zao.
 
Yani natafuta dictionary yangu hapa kuna michango hapa inanichanganyaa

Upe mkuu au ngumbaro hahaa... tafta madogo watatu wa BRN utashangaa kila mtu na tafsri yake kama wametoka kupiga kangara
 
Kitu ambacho nimekigundua kwenye ndoa za siku hizi kwamba kwanini hazidumu...ni kwamba mchakato wa kumpata mchumba unachukuliwa simple sana...wazee wetu walipokuwa wanatuchagulia wachumba walikuwa wanatumia hekima sana kwa kuwa wao ndio wa kwanza kuliona jua kwa hiyo wanafahamu mengi sana yaliyo chini ya jua kuliko sisi....wanafahamu kuwa uzuri wa sura na umbo pekee haitoshi kuwa sifa ya mke bali tabia njema na heshima...
Wapo walimbwende kibao wazuri wa sura na umbo wanazeekea kwao kwa tabia zao mbaya na kukosa heshima.....wazee wetu walikuwa wanahakikisha wanamfahamu binti kiundani kabla hawajakuchagulia......na historia inaonyesha kuwa ndoa hizo hudumu sana kuliko hizi za facebook na instagram ambazo wameunganishwa na tamaa na sio upendo....
 
Kitu ambacho nimekigundua kwenye ndoa za siku hizi kwamba kwanini hazidumu...ni kwamba mchakato wa kumpata mchumba unachukuliwa simple sana...wazee wetu walipokuwa wanatuchagulia wachumba walikuwa wanatumia hekima sana kwa kuwa wao ndio wa kwanza kuliona jua kwa hiyo wanafahamu mengi sana yaliyo chini ya jua kuliko sisi....wanafahamu kuwa uzuri wa sura na umbo pekee haitoshi kuwa sifa ya mke bali tabia njema na heshima...
Wapo walimbwende kibao wazuri wa sura na umbo wanazeekea kwao kwa tabia zao mbaya na kukosa heshima.....wazee wetu walikuwa wanahakikisha wanamfahamu binti kiundani kabla hawajakuchagulia......na historia inaonyesha kuwa ndoa hizo hudumu sana kuliko hizi za facebook na instagram ambazo wameunganishwa na tamaa na sio upendo....

Mkuu umenigusa sana....... marehemu baba yangu aliniambia huyo mwanamke unamuoa sio....mama akarudia vivyo hivyo....harusi ikafana sana.....duh we acha tuu...........wazee dhahabu halisi...
 
Mkuu umenigusa sana....... marehemu baba yangu aliniambia huyo mwanamke unamuoa sio....mama akarudia vivyo hivyo....harusi ikafana sana.....duh we acha tuu...........wazee dhahabu halisi...
Pole sana mkuu..ndio wazee huwa wanaona mbali sana......ukienda kumtambulisha mchumba kwa siku ya kwanza tu atakuambia mapungufu yake..............
 
Back
Top Bottom